Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,684
- 45,613
Hahaha kumbe ni weweee??Nimekukumbuka. Tulikaa siti moja. Ukanikaribisha chakula nikakataa [emoji16]
Hahaha kumbe ni weweee??Nimekukumbuka. Tulikaa siti moja. Ukanikaribisha chakula nikakataa [emoji16]
😅😅😅sana tuuuuMnaanzaga hivi hivvi...
Nimimi madame. Hope tutadafiri Tena siti moja na msosi wako nitaugonga vile vileHahaha kumbe ni weweee??
[emoji28][emoji28][emoji28]sana tuuuu
Mdau mkubwa...mpaka kuna kipindi nilifikisha tiketi kadhaa,nilizitunza...nikapewa ofa ya kwenda Dom for free..Duh hakika umekuwa mdau muhimu wa hayo mabus...mi huwa sijawahi kuchoshwa na safari nikitumia ABC
Safari hii sitokukaribisha...ulikuwa unaringaa kulaNimimi madame. Hope tutadafiri Tena siti moja na msosi wako nitaugonga vile vile
[emoji39] wacha roho mbayaSafari hii sitokukaribisha...ulikuwa unaringaa kula
Kwahiyo sisi wa KIMOTCO tusiandike chochote hapa?
Aha kwani Mkuu Coast line huduma yao ikoje?Na sisi Coast Line Je?
Aha kwani Mkuu Coast line huduma yao ikoje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi napenda champion ambayo ni full kunguni, gia tu kwanza wanaitana konda na dereva wake ili kuzungusha kile kirungu
ulitaka ziitweje?Basi zur ila jina bovu
Safari yangu ya Dar to Dodoma ilikuwa mujarabu sana utafikiri nilikuwa ndani ya Turkish airlines. Aisee sikudhani kama Tanzania kuna usafiri wa bus mtamu kama huu, very very classical.
Hakuna kukunja miguu ni kama upo ndani ya business class angani
Kimbinyikyo I will forever miss you, toka nianze kupanda hizi bus zinazoitwa luxury bus sijawahi kukutana na gari nzuri kama hii.
Kwanza wafanyakazi wananukia safi.
At work
Hahahaha
Siku moja tembelea Arusha
Utazikuta zile zenyewe classic
Nadhani utakuwa unaziota ata ukifika kwako
Basi zur ila jina bovu
hongera yako,kuna mabasi mengine yanafanya safari yako iwe kama unaenda jehanamu
Wahudumu wao wanatoa namba za Simu!?