Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,676
Naaam.Mabasi yangu ya kusafiri nayo Dar-Dom ni kimbinyiko Int. na ABC classic baaaasi...
Mimi pia ni ABC damu damu kwa usafiri wa Dar-Kanda ya kati(Dom,Singida)
Naaam.Mabasi yangu ya kusafiri nayo Dar-Dom ni kimbinyiko Int. na ABC classic baaaasi...
Bado sijawaza kupanda gari nyingine zaidi ya ABC kwenda kanda ya katiJaribu na ABC ulete mrejesho hakika jamaa wamejipanga!!
ABC Upper ClassInaitwa ABC classic
Halafu wana dereva wao flani hivi mweusi giant...Daah...yaani safari haichoshi... very mkarimu jomoniii😋Naaam.
Mimi pia ni ABC damu damu kwa usafiri wa Dar-Kanda ya kati(Dom,Singida)
Naaam.
Mimi pia ni ABC damu damu kwa usafiri wa Dar-Kanda ya kati(Dom,Singida)
Halafu wana dereva wao flani hivi mweusi giant...Daah...yaani safari haichoshi... very mkarimu jomoniii[emoji39]
Hapana...huduma zao na uzuri wa mabasi yao...huyo dereva alinivutia kwa ukarimu wake na jinsi alivyo...sidhani kama hilo lina ubayaWe ABC unavutiwa na dereva kumbe
Madereva wao wapo vizuri sana, smart kwa kwenda mbele(suti kama kawa)Halafu wana dereva wao flani hivi mweusi giant...Daah...yaani safari haichoshi... very mkarimu jomoniii[emoji39]
Nitajaribu, ila kwa sasa bado nipo ABCKimbinyikyo umewahi kupanda? Jaribu mkuu hutajuta
Hapana...huduma zao na uzuri wa mabasi yao...huyo dereva alinivutia kwa ukarimu wake na jinsi alivyo...sidhani kama hilo lina ubaya
ABC itabaki kileleni...hahaha huchoki aisee,.mm kuna safari moja natoka Dom nilitamani ile foleni ya ubungo igande tuu tusiingie terminal kwa raha...plus u-smart wa wahudumu..lolMadereva wao wapo vizuri sana, smart kwa kwenda mbele(suti kama kawa)
Kondakta ni wadada kama wa Bombardier[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2](wenzangu na mimi tutaelewana hapa).
Nilipanda ABC ya Dom-Dar mwaka jana, kulikuwa na Dereva anatangaza mara kwa mara kwa spika huku akawa anachekesha abiria hatari, yaani kama comedy. Kukanyaga gia hapo ndio mahali pake. Saa 4:30 anaamsha Dom, saa 12 yupo viunga vya Dar.
Yeah sipendi kukaa nyuma...Bila shaka unakaa siti za mwanzoni kabisa[emoji3]
My bana, sawa nitajaribu msimu ujao[emoji23]Jaribu safari njema mkuu hutojuta
My bana, sawa nitajaribu msimu ujao[emoji23]
Jaribu safari njema mkuu hutojuta
Usijali my, au tutasafiri wote my[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usisahau mrejesho my
SHABIBY je?
Usijali my, au tutasafiri wote my