Aah nitajaribu siku moja ila kimbinyikyo ni mwisho
Sawa myTutasafiri wote my
Kuna kimbinyiko nilipanda muda kidogo tbh ilikuwa imechoka sema kwenye mabio zipo njema
Kwa kweli. Itabidi nije nilipande tena maana anzia siku hiyo sikuwahi kulifikiria tena.Mambo yamehadilika mkuu
Kwa kweli. Itabidi nije nilipande tena maana anzia siku hiyo sikuwahi kulifikiria tena.
Ndugai ndio mmiliki wa Kimbinyiko?Gari za muheshimiwa wetu aliyeitwa dhaifu na C.A.G
Duh hakika umekuwa mdau muhimu wa hayo mabus...mi huwa sijawahi kuchoshwa na safari nikitumia ABCABC itabaki kileleni...hahaha huchoki aisee,.mm kuna safari moja natoka Dom nilitamani ile foleni ya ubungo igande tuu tusiingie terminal kwa raha...plus u-smart wa wahudumu..lol
duh ushakula shavu bro..😉Sawa my
Yapo yaliyochoka bei zake ni 18,000/- yale ya elfu 28 na kuendelea ni classicKuna kimbinyiko nilipanda muda kidogo tbh ilikuwa imechoka sema kwenye mabio zipo njema
Mnaanzaga hivi hivvi...Halafu wana dereva wao flani hivi mweusi giant...Daah...yaani safari haichoshi... very mkarimu jomoniii[emoji39]
Yapo yaliyochoka bei zake ni 18,000/- yale ya elfu 28 na kuendelea ni classic
Utapata kila unachohitaji ndani ya gari karibu mkuu
Nimekukumbuka. Tulikaa siti moja. Ukanikaribisha chakula nikakataa [emoji16]ABC itabaki kileleni...hahaha huchoki aisee,.mm kuna safari moja natoka Dom nilitamani ile foleni ya ubungo igande tuu tusiingie terminal kwa raha...plus u-smart wa wahudumu..lol
Wafanyakazi wananukia.. mmmSafari yangu ya Dar to Dodoma ilikuwa mujarabu sana utafikiri nilikuwa ndani ya Turkish airlines. Aisee sikudhani kama Tanzania kuna usafiri wa bus mtamu kama huu, very very classical.
Hakuna kukunja miguu ni kama upo ndani ya business class angani
Kimbinyikyo I will forever miss you, toka nianze kupanda hizi bus zinazoitwa luxury bus sijawahi kukutana na gari nzuri kama hii.
Kwanza wafanyakazi wananukia safi.