si ndo hapoooooo!leo mwekee mchuno kwa kwenda mbele!akiuliza zile zao za ''umelala'' usijibu kausha kmya wala usimsogelee usije ukapatwa na hug from behind ukajikuta umegeuka bure!
Tatizo lenu snowhite na Madame B mnakuwa na jazba sana. Mie sijawasaliti nataka tu kumrudisha Mtambuzi kwenye mstari kwani hilo si ndio lengo letu? Shida yetu si ni kumtetea Mama Ngina? Maana Mtambuzi akijirekebisha tuta save mambo mengi kama vile muda na gharama za kutengeneza mabango, kulipia matarumbeta (maana nawajua nyie hammsuti mtu bila kumpelekea matarumbeta) na kuwalipa akina Gea wa hekaheka. Sasa usaliti wangu upo wapi?
Mie sijawasaliti jamani. Nilikuwa tu namshauri Mtambuzi abadili mawazo ili ajiokoe na yatakayojiri mbele yake akijifanya mjanja!
Vizuri.
Haya kamata hili Panga,ulale nalo kabisa Mchagoni maana linataka kunywa damu ya mtu kesho kule Vikindu.
nyekundu na njano ndo poa!halafu ngoja tutafute msaada wa kisheria kabisa tujue power of attorney aliyonayo mama ngina baada ya hili saga la huyu babu je ana haki gani za kimsingi kwa mume wake? ruttashobolwa tujuze,manake tuko vere siriaz haiwezekani huyu babu aachiwe hivi,:frusty:
Niliwaona sana Jana....!
Dah! Kweli shosti umepania ushaanza na kugawa mapanga! Mie usinipe hilo panga bana mie ntabeba bango! Lol!
halafu nimegundua wahujumu wa mama ngina sio mwaJ na SnowBall peke yao kuna @jekeneke,na ruttashobolwa nao nawaona wanachekelea tu hapo juu!
Hujajibu swali.
Nimeona nijitokeze maana Madame B(wangu) na snowhite nusu wanitoe macho kumbe ni tatizo lakuto log out!
Back to topic
Mama ngina kama mke halali wa mtambuzi atakuwa na haki zote kama mke according to law of marriage!
Na ndoa itategemea ni ya aina gani
*tradional
*religiou(christian, muslims)
kama ni christian mtambuzi harusiwi kuongeza mke!
*kama ni muslims- hapa mtambuzi ana haki ya kuongeza wake hadi wanne na wote wapate haki zao.
Mama ngina ana haki zote ikiwa amechuma mali na Babu mtambuzi watagawana na zile alizopewa kama zawadi na Mtambuzi zitabaki kuwa za Mama ngina
Mali alizochuma Mtambuzi kabla ya kuona na Mama ngina zitabaki kuwa Za Babu Mtambuzi.
Lawyer huyu hatufai kwani ameonyesha upendeleo wa wazi wazi.
Afu Lawyer huyu huyu ndie hubby wangu.
Namwambia popote alipo ajisalimishe la sivyo leo ni Mzungu wa 4 usiku.
Nimeona nijitokeze maana Madame B(wangu) na snowhite nusu wanitoe macho kumbe ni tatizo lakuto log out!
Back to topic
Mama ngina kama mke halali wa mtambuzi atakuwa na haki zote kama mke according to law of marriage!
Na ndoa itategemea ni ya aina gani
*tradional
*religiou(christian, muslims)
kama ni christian mtambuzi harusiwi kuongeza mke!
*kama ni muslims- hapa mtambuzi ana haki ya kuongeza wake hadi wanne na wote wapate haki zao.
Mama ngina ana haki zote ikiwa amechuma mali na Babu mtambuzi watagawana na zile alizopewa kama zawadi na Mtambuzi zitabaki kuwa za Mama ngina!
Mali alizochuma Mtambuzi kabla ya kuona na Mama ngina zitabaki kuwa Za Babu Mtambuzi.
Mtambuzi naamini hii sio kazi ya Maruhumu Munga Tehenan @ Mzee wa Nepi! Leo umenikera kwa kutumia sababu isiyo na mashiko kuhalalisha ufedhuli wako. Kuoa mke wa pili ni shauri ya tamaa tu na si vinginevyo. Hizo sababu nyingine ni za kujaziliza kapu tu.Yeah, waungwana wanasema like father like son….
Ngoja nimepata mgeni kidogo, nitarudi muda mfupi ujao kuwapa taarifa zaidi…
Huyu ruttashobolwa najua pa kumkamatia.
Wala simshikii manati,saa 12 bandani.
Afu wewe mwaJ unatusaliti tunakuuliza?
Tungawana kazi,kamlete Gea.
Haya na ungana kwenye operesheni rudisha mama Ngina.
Law of marriage imekukaa vema!