Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,969
- 32,148
na wakazi wote wa darisalama wanaokaa pande za tabata nao pia wakae kushoto!mama ngina anabaki kuwa mother house mpka mwisho wa dahari ye anataka kuoa mke size ya Mkatakiu ili kiwe nini?af wakimpora kina Saint Ivuga atakuja kuleta mada humu ndani inasomeka hivi''mke wangu wa pili kakimbilia kwa wenye damu changa'' nani anataka hzo aibu humu!ah
Hapo Chacha,
yani anaoa mwanamke Used but M-bichi afu ategemee akina Masharobaro Saint Ivuga wakajisevie wapi?
Yani siku hyo Pale Tabata, Dar itahamia kule.
Mtu Tatu kama vile Elfu Tatu.
Halafu nilitaka kusahau, itabidi tukakate Sare tuvae siku ya Tifu ili iwe rahisi Kukumbukana hata tukikimbizwa na FFU....lol
Last edited by a moderator: