Ahobokile Mwaitenda anusurika kuuawa kwa kuukosoa mkataba wa bandari!

Watekaji wakamlazimisha kuingia Kwa gari akawa mateka..
Halafu akaendesha gari peke yake huku wanamfata??
Mkuu hivi unatambua kuwa shule ya Makongo ipo ndani eneo la JWTZ!?
Je! Unafikiri kuwa hao washukiwa wangaliweza kumchukua peke yake na kulitelekeza gari lake katika eneo hilo la Lugalo?
Kitu kingine cha kufikirisha ni kuhusu uthubutu wao wa kumpiga mtu wakiwa katika eneo hilo nyeti la kiusalama.
 
Ndugu Watanzania!
Tumeongea Ahobokile Mwaitenda ikiwa ni siku moja baada ya kunusurika kuuawa au kutekwa na watu wasiojulikana. Mwaitenda ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa CHADEMA na alikuwa ni Mgombea Ubunge Jimbo la Rungwe, Mbeya Uchaguzi wa Oktoba 2020 kupitia CHEDEMA.

Usiku wa 7 Julai 2023 akiwa anatokea uelekeo wa Mwenge kuelekea Goba, alivamiwa na watu 4 (wanaume 3 na mwanamke 1). Walimkimbiza na gari wakimpigia kelele asimame. Akifikiri huenda amegonga gari bila kujua, akakimbilia na karibu na Shule ya Makongo na kusimama.

Aliposimama wakashuka watu hao wakaanza kumpiga ngumi na mateke huku wakimfokea wakisema anajifanya anajua kusema sana juu ya Mkataba wa Bandari. Walinzi wa Shule ile waliokuwa mbali walipoanza kusongelea pale, watekaji wakamlazimisha Mwaitenda aingie kwenye gari. Muda huo tayari alikuwa mateka.

Aliendelea kuendesha gari huku wakimfuata na ndipo akakimbilia katika Kituo cha Polisi Kawe na kugonga Geti kwa gari. Alishuka haraka na kujisalimisha huku akiwa amenyoosha mikono juu. Wale watu wakegeuza gari na kukimbia.

Ndugu Watanzania! Jana tuliandika pia juu ya vitisho walivyopata wanasheria wanakosoa pia Mkataba wa Bandari ambao ni Dkt. Nshala na Boniface Mwabukusi! Mhe. Balozi Dkt. Willbrod Slaa alitishwa hadharani na kiongozi mmoja wa serikali baada ya Dkt. Slaa kuukosoa mkataba! Vitisho ni vingi sana na hatuwezi kuelezwa kila mtu anayetishiwa uhai wake.

Sisi Askofu Mwamakula tumesikitishwa sana na vitendo hivi vya kutaka kuteka, kuua na hata kunyamazisha watu waoikosoa serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania. Sisi tunatoa wito kwa Serikali kutoa kauli kuhusu vitendo hivi kwani wafanyao vitendo hivyo wanajinasibisha moja kwa moja na serikali. Kukaa kimya kwa Serikali katika matukio yaliyojitokeza sasa itachukuliwa kuwa ni Serikali inayoratibu na kufadhili vitendo vya kutisha na kuteka na kutaka kuua watu.

Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito pia kwa viongozi wote wa dini ili wakemea kwa nguvu vitendo hivyo kwani vinalenga katika kufinya haki na kuendelea kuondoa amani na utulivu katika taifa letu. Uhuru wa kutoa maoni ni haki ya kila raia wa nchi hii. Hakuna mtu au taasisi ye yote ikiwemo serikali aliye na haki ya kuzuia wengine wasitoe maoni yao katika nchi yao.

Tunaendelea kuonya na kutahadharisha kuwa ikiwa yeyote anayeikosoa Serikali ya Tanzania juu ya Mkataba wa Bandari atadhurika au hata kuuawa, basi watu wote waliowahi kutoa kauli hadharani kuwatisha wakosaoji, basi watu hao watawajibika sambamba na serikali endapo pia yenyewe haitajitenga na vitendo hivyo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Uamsho Duniani.
Dar es Salaam, 8 Julai 2023; 21:11 pm.

Waione na kuisoma:
1. Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)
2. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
3. Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)
4. Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
5. Tanganyika Law Society (TLS)
6. Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania
7. Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania
8. Umoja wa Ulaya
9. Umoja wa Mataifa (UN)
10. Kituo cha Haki za Binadamu (LCHR)
11. Vyombo vyote vya Habari vya ndani na Nje
12. Sheikh Ponda Issa Ponda
13. Askofu William Mwamalanga
Tafuteni umaarufu wa kijinga
 
Ndugu Watanzania!
Tumeongea Ahobokile Mwaitenda ikiwa ni siku moja baada ya kunusurika kuuawa au kutekwa na watu wasiojulikana. Mwaitenda ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa CHADEMA na alikuwa ni Mgombea Ubunge Jimbo la Rungwe, Mbeya Uchaguzi wa Oktoba 2020 kupitia CHEDEMA.

Usiku wa 7 Julai 2023 akiwa anatokea uelekeo wa Mwenge kuelekea Goba, alivamiwa na watu 4 (wanaume 3 na mwanamke 1). Walimkimbiza na gari wakimpigia kelele asimame. Akifikiri huenda amegonga gari bila kujua, akakimbilia na karibu na Shule ya Makongo na kusimama.

Aliposimama wakashuka watu hao wakaanza kumpiga ngumi na mateke huku wakimfokea wakisema anajifanya anajua kusema sana juu ya Mkataba wa Bandari. Walinzi wa Shule ile waliokuwa mbali walipoanza kusongelea pale, watekaji wakamlazimisha Mwaitenda aingie kwenye gari. Muda huo tayari alikuwa mateka.

Aliendelea kuendesha gari huku wakimfuata na ndipo akakimbilia katika Kituo cha Polisi Kawe na kugonga Geti kwa gari. Alishuka haraka na kujisalimisha huku akiwa amenyoosha mikono juu. Wale watu wakegeuza gari na kukimbia.

Ndugu Watanzania! Jana tuliandika pia juu ya vitisho walivyopata wanasheria wanakosoa pia Mkataba wa Bandari ambao ni Dkt. Nshala na Boniface Mwabukusi! Mhe. Balozi Dkt. Willbrod Slaa alitishwa hadharani na kiongozi mmoja wa serikali baada ya Dkt. Slaa kuukosoa mkataba! Vitisho ni vingi sana na hatuwezi kuelezwa kila mtu anayetishiwa uhai wake.

Sisi Askofu Mwamakula tumesikitishwa sana na vitendo hivi vya kutaka kuteka, kuua na hata kunyamazisha watu waoikosoa serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania. Sisi tunatoa wito kwa Serikali kutoa kauli kuhusu vitendo hivi kwani wafanyao vitendo hivyo wanajinasibisha moja kwa moja na serikali. Kukaa kimya kwa Serikali katika matukio yaliyojitokeza sasa itachukuliwa kuwa ni Serikali inayoratibu na kufadhili vitendo vya kutisha na kuteka na kutaka kuua watu.

Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito pia kwa viongozi wote wa dini ili wakemea kwa nguvu vitendo hivyo kwani vinalenga katika kufinya haki na kuendelea kuondoa amani na utulivu katika taifa letu. Uhuru wa kutoa maoni ni haki ya kila raia wa nchi hii. Hakuna mtu au taasisi ye yote ikiwemo serikali aliye na haki ya kuzuia wengine wasitoe maoni yao katika nchi yao.

Tunaendelea kuonya na kutahadharisha kuwa ikiwa yeyote anayeikosoa Serikali ya Tanzania juu ya Mkataba wa Bandari atadhurika au hata kuuawa, basi watu wote waliowahi kutoa kauli hadharani kuwatisha wakosaoji, basi watu hao watawajibika sambamba na serikali endapo pia yenyewe haitajitenga na vitendo hivyo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Uamsho Duniani.
Dar es Salaam, 8 Julai 2023; 21:11 pm.

Waione na kuisoma:
1. Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)
2. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
3. Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)
4. Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
5. Tanganyika Law Society (TLS)
6. Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania
7. Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania
8. Umoja wa Ulaya
9. Umoja wa Mataifa (UN)
10. Kituo cha Haki za Binadamu (LCHR)
11. Vyombo vyote vya Habari vya ndani na Nje
12. Sheikh Ponda Issa Ponda
13. Askofu William Mwamalanga
Mh 🤔
 
Huyo ni nani na kwa umaarufu gani? asitafutwe slaa wala lissu hatutaki drama kama aliiba mke wa mtu amrudishe!
Mlinda legacy hata LISSU aliposema anafuatiliwa na gar flan na no flan mlimbeza na kumwambia anatafuta umaaruf kupitia JPM. Nadhan baada ya masaa kadhaa mliona wenyew!!! NB: Kwann walinda legacy wengi ni hamnazo?
 
The boss na etwege wamebadilishana persona, na wote wanaamini ni wazalendo wapenda maendeleo.
 
Ndugu Watanzania!
Tumeongea Ahobokile Mwaitenda ikiwa ni siku moja baada ya kunusurika kuuawa au kutekwa na watu wasiojulikana. Mwaitenda ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa CHADEMA na alikuwa ni Mgombea Ubunge Jimbo la Rungwe, Mbeya Uchaguzi wa Oktoba 2020 kupitia CHEDEMA.

Usiku wa 7 Julai 2023 akiwa anatokea uelekeo wa Mwenge kuelekea Goba, alivamiwa na watu 4 (wanaume 3 na mwanamke 1). Walimkimbiza na gari wakimpigia kelele asimame. Akifikiri huenda amegonga gari bila kujua, akakimbilia na karibu na Shule ya Makongo na kusimama.

Aliposimama wakashuka watu hao wakaanza kumpiga ngumi na mateke huku wakimfokea wakisema anajifanya anajua kusema sana juu ya Mkataba wa Bandari. Walinzi wa Shule ile waliokuwa mbali walipoanza kusongelea pale, watekaji wakamlazimisha Mwaitenda aingie kwenye gari. Muda huo tayari alikuwa mateka.

Aliendelea kuendesha gari huku wakimfuata na ndipo akakimbilia katika Kituo cha Polisi Kawe na kugonga Geti kwa gari. Alishuka haraka na kujisalimisha huku akiwa amenyoosha mikono juu. Wale watu wakegeuza gari na kukimbia.

Ndugu Watanzania! Jana tuliandika pia juu ya vitisho walivyopata wanasheria wanakosoa pia Mkataba wa Bandari ambao ni Dkt. Nshala na Boniface Mwabukusi! Mhe. Balozi Dkt. Willbrod Slaa alitishwa hadharani na kiongozi mmoja wa serikali baada ya Dkt. Slaa kuukosoa mkataba! Vitisho ni vingi sana na hatuwezi kuelezwa kila mtu anayetishiwa uhai wake.

Sisi Askofu Mwamakula tumesikitishwa sana na vitendo hivi vya kutaka kuteka, kuua na hata kunyamazisha watu waoikosoa serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania. Sisi tunatoa wito kwa Serikali kutoa kauli kuhusu vitendo hivi kwani wafanyao vitendo hivyo wanajinasibisha moja kwa moja na serikali. Kukaa kimya kwa Serikali katika matukio yaliyojitokeza sasa itachukuliwa kuwa ni Serikali inayoratibu na kufadhili vitendo vya kutisha na kuteka na kutaka kuua watu.

Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito pia kwa viongozi wote wa dini ili wakemea kwa nguvu vitendo hivyo kwani vinalenga katika kufinya haki na kuendelea kuondoa amani na utulivu katika taifa letu. Uhuru wa kutoa maoni ni haki ya kila raia wa nchi hii. Hakuna mtu au taasisi ye yote ikiwemo serikali aliye na haki ya kuzuia wengine wasitoe maoni yao katika nchi yao.

Tunaendelea kuonya na kutahadharisha kuwa ikiwa yeyote anayeikosoa Serikali ya Tanzania juu ya Mkataba wa Bandari atadhurika au hata kuuawa, basi watu wote waliowahi kutoa kauli hadharani kuwatisha wakosaoji, basi watu hao watawajibika sambamba na serikali endapo pia yenyewe haitajitenga na vitendo hivyo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Uamsho Duniani.
Dar es Salaam, 8 Julai 2023; 21:11 pm.

Waione na kuisoma:
1. Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)
2. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
3. Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)
4. Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
5. Tanganyika Law Society (TLS)
6. Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania
7. Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania
8. Umoja wa Ulaya
9. Umoja wa Mataifa (UN)
10. Kituo cha Haki za Binadamu (LCHR)
11. Vyombo vyote vya Habari vya ndani na Nje
12. Sheikh Ponda Issa Ponda
13. Askofu William Mwamalanga
Shenzi zako. We pimbi kwa kueneza chuki dhidi ya samia
 
Kama ambavyo mtu mweusi alitumika kumkamata mweusi mwenzake na kumtesa na kisha kumuuza kwa waarabu, leo maataahira wanarudia ushenzi uleule
 
Kuna madhabahu ya shetani inafanya kazi nchini.Shetani hajawahi kuwa mwema na hata anayejaribu kujiungamanisha naye bado shetani hamtakii mema na kizazi chake.Fikiria mkataba wa bandari uko wazi kuwa hauna tija kwa taifa lakini wasikilize mawakala wa shetani wengine wasomi kabisa lakini wanajitoa ufahamu kuutetea kwa gharama yoyote. wanatazama wanachokipata kwa muda huu lakini hawauoni mwisho wao na vizazi vyao baadae.Hii ni tabia halisi ya ibilisi kukuoyesha mazuri tu ya muda huo Ila anakuficha madhara ya siku zijazo.watanzania ni nani amewaloga? Mnatafutiana mabaya huku hamjui kesho yenu na vizazi vyenu? Hivi mnadhani Mungu ataunyamazia uovu huu?
 
vipi ukisoma ulichoandika unakielewa?...

lakini tujitahidi tuungane pamoja tukatae uhuni ndani ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom