Bhaghosha
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 224
- 163
Mimi si muumini sana wa hii demokrasia inayopigiwa debe na wajanja fulani akiwemo huyu mwandishi. Mafanikio ya demokrasia yeyote inategemia vitu vingi sana ikiwemo, katiba, mahakama, utamaduni, elimu, imani nk nk. Nchi za magharibi zinafakiwa vizuri sana kuliko nchi nyingine zikiwemo za Asia na mbaya zaidi Africa ambako demokrasia hakuna kabisa, kwa sababu wanazozijua wao ikiwemo kutokubali kutolewa madarakani kwa sababu ya madhambi yao au kutokuachia unono.
Kwa Chadema katika wakati huu ambao ni tete kama chama kutokana na kukabiliwa na upinzani na njama za wa wazi kutoka CCM, Serikali pamoja na dola yake yote, itakuwa kichekesho leo ukiniambia wawe na demokrasia ya kusimulia wakati serikali iliyopo haiimani kiasi cha kuelekeza nguvu zote kuufutilia mbali upinzani nchini.
Mimi sijui na siko ndani ya kundi la maamuzi la Chadema. Ila napenda kukuhakikishia wamekuwa ni wavumilivu sana tena sana kutokana na hujuma ambazo wamekuwa wakifanyiwa kiasi inahitaji mioyo ya misumari. Na hizi harakati za kupunguza kasi zimefanikiwa sana kwa sababu ni kweli Chadema wamekuwa derailled na huu ujinga wa akina Zitto na kundi lake. Ni uwazi usiopingika wao ni wasaliti. Na dawa ya usaliti ni kutoswa tu bila kuangalia usoni. Nimekuwa nikiwaaambia rafiki zangu. Huu ni wakati wa kuachana na Zitto na wenzake sasa. Kwa sababu upinzani hivi sasa ni kama Movement, WIMBI or kimbunga, halimjui Zitto or Mbowe. Watu wanataka mabadiliko. Leo hii Zitto nje ya Chadema is nothing ni chui wa karatasi. Watu wanakusanyika kusikia umbea. Akifukuzwa itasemwa ni msaliti wa movement. Kwisha.
Nakumbuka enzi ya Frelimo Nachingwea or Mazimbu kule Morogoro namna walisati walivyokuwa wanafanywa. Bila hivyo Chadema na upinzani utaendelea kuchezeshwa Mdundiko na wajanja. Mwandishi acha ngonjera please
Kwa Chadema katika wakati huu ambao ni tete kama chama kutokana na kukabiliwa na upinzani na njama za wa wazi kutoka CCM, Serikali pamoja na dola yake yote, itakuwa kichekesho leo ukiniambia wawe na demokrasia ya kusimulia wakati serikali iliyopo haiimani kiasi cha kuelekeza nguvu zote kuufutilia mbali upinzani nchini.
Mimi sijui na siko ndani ya kundi la maamuzi la Chadema. Ila napenda kukuhakikishia wamekuwa ni wavumilivu sana tena sana kutokana na hujuma ambazo wamekuwa wakifanyiwa kiasi inahitaji mioyo ya misumari. Na hizi harakati za kupunguza kasi zimefanikiwa sana kwa sababu ni kweli Chadema wamekuwa derailled na huu ujinga wa akina Zitto na kundi lake. Ni uwazi usiopingika wao ni wasaliti. Na dawa ya usaliti ni kutoswa tu bila kuangalia usoni. Nimekuwa nikiwaaambia rafiki zangu. Huu ni wakati wa kuachana na Zitto na wenzake sasa. Kwa sababu upinzani hivi sasa ni kama Movement, WIMBI or kimbunga, halimjui Zitto or Mbowe. Watu wanataka mabadiliko. Leo hii Zitto nje ya Chadema is nothing ni chui wa karatasi. Watu wanakusanyika kusikia umbea. Akifukuzwa itasemwa ni msaliti wa movement. Kwisha.
Nakumbuka enzi ya Frelimo Nachingwea or Mazimbu kule Morogoro namna walisati walivyokuwa wanafanywa. Bila hivyo Chadema na upinzani utaendelea kuchezeshwa Mdundiko na wajanja. Mwandishi acha ngonjera please