wewe ni mmoja wa watu walioanza kunielewa.itakuwa umetoka humu na kuulizia mahali.ishu sio uwezo,ni indugunaizesheniNina uhakika mwaka huu kwenye uteuzi wa ma DED adverse selection ilifanyika kwa kiwango kikubwa...wale watakaoshindwa kufanya moral hazard lazima watatumbuliwa tu. Ifikapo 2020 kama hawa maded wengi watakuwa hawajatumbuliwa basi baada ya uchaguzi wengi hawatarudi kwenye hizo nafasi. Natamani niweke baadhi ya ushahidi why kuna watu hawakufaa lakini naona niache magufuli mwenyewe atawaona.
Labda hayo maombi ya kazi yaperekwe ulaya then tuletewe majibu kuwa aliyeshinda huyu.Hakuna mchaga aliyewahi kushika nafasi za uteuzi akawateua wachaga kwa wingi.
Hapajawahi hata kuwa na waziri mkuu mchaga hapa Tanzania.
Hata uwaziri tu ni wa kuhesabu.
Sasa hiyo zamu yao ilikua ipi?
Acheni ukabila?
Hii nchi ni ya watanzania wote na ndio maana Nyerere alikua hapendi haya makabila makubwa yashike Madaraka.
Mana hata wakati mwingine jambo likiwa sawa litaonekana kama ukabila.
Watanzania wataamua wenyewe kama kuna ukabila au hakuna kwenye teuzi.
Muda ndio utasema.
Na kwa sababu kuna Makabila 125 kabila moja halitaweza kamwe kuimiliki hii nchi peke yake.
Kodi wanatoa wote halafu kwenye nafasi zinapoishia hizo kodi ziishie kwenye kabila moja!!! Hiyo haitawezekana na haitakubalika kamwe.
Mpaka sasa naona kama mkuu wa nchi anafanya teuzi zake kwa mujibu wa katiba ya nchi. Sasa kama kuna watu wanataka ateue kwa ukabila eti ni zamu yao naona wanataka kumopotisha na kukiangusha chama cha mapinduzi kwani hii nchi ina makabila mengi sana na marais waliopita walijitahidi kuepuka hayo mambo.
Huwezi kusema kuwa kabila fulani ndilo linalolipa kodi kuliko wengine ili wao ndio waifaidi zaidi ya wengine.
Kama ni umaskini basi yapo Makabila mengine mengi sana maskini sana lakini ndio mtaji mkubwa wa kura za kuiweka CCM madarakani bila kujali nani anagombea.
Na haya maneno maneno yataondoka tu pale katiba itakapoondoa huu utaratibu wa rais kuteua watu kila sehemu.
Utaratibu uwekwe kwenye katiba kuwa kila nafasi za kisiasa ziwe ni za kugombea na nafasi za kitaalam watu watume maombi na nafasi zitangazwe watu washindane kwa taaluma na namna watakavyotekeleza malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kwa kweli mara nyingine kumtoa mtu fulani akawe mkuu wa wilaya au mkoa fulani ni kuwakosea watu wa mkoa huo haki kwa kuwa hawezi kuwa na nia ya thati ya kuwaletea maendeleo zaidi ya kujitafutia fursa kama kujimilikisha mashamba na viwanja na hatimaye kuhamishwa na kuacha migogoro ya ardhi.Bila shaka angekua mkazi na akagombea hiyo nafasi hangeweza kufanya ujinga wa kuangalia maslahi yake na yule aliyempa nafasi hiyo mezani.
Tubadili katiba vinginevyo tuache kulialia rais anapofanya uteuzi.
acha kabisa ndg. sasa iv halmashauri nyingi wataanza kufanya vikao kwa kilugha. kuna wilaya nyingine wamekutana DC na DED wote wa kulekule
jamani watu mna majunguMajunguNia na madhumuni ya huu uzi ni nini haswa? Au ndo promo
nionyeshe majungu yanguMajungu
....we sio mzima kichwani!....unaomba uoneshwe majungu yako,hii post uliandikiwa?wewe ni mmoja wa watu walioanza kunielewa.itakuwa umetoka humu na kuulizia mahali.ishu sio uwezo,ni indugunaizesheni
ni kweli mimi sio mzima kichwani.hapa unaongea na bangi.tuonyeshe huo uwezo wa wake hapa basi wote tufurahi. ninahakika unajibalaguza tu. ni wapi niliposema uwezo wa mtu sio ishu.kuna kigezo kingine kwenye cheo zaidi ya uwezo? Hapa kinacholalamikiwa ni watu kadhaa kupewa vyeo sio kwa sababu ya uwezo wao, ni kwa sababu ya kifamilia zaidi.Tupe CV ya niliyemletea majungu kama huna piga kimya, ukipenda nenda post no.85 ukajiliwaze....we sio mzima kichwani!....unaomba uoneshwe majungu yako,hii post uliandikiwa?
...na kumbe uwezo wa mtu siku hizi imekuwa sio ishu?
..wahi matibabu haraka!
Huyu kwao sengerema, na nishemejie magufuli. Ni mdogo wake na make wa kwanza wa magufuli akiwa bado mwalimu. Kwao ni nyamazugo road mjin sengerema.
Ruvuma hii ya Tanzania au nyingine? Mama Mbega na Mama Ishengoma hawajawahi kuwepo Ruvuma?Ruvuma haijawahi kuwa na mwanamama mkuu wa mkoa.
Nimekubali komrediRuvuma hii ya Tanzania au nyingine? Mama Mbega na Mama Ishengoma hawajawahi kuwepo Ruvuma?
Mkome mbona walipokuwa wachaga mlikuwa hamsemi. Magufuli bhatolage bhenabha bhale Na kishimbe,
Qualification kubwa awamu hii ni usukuma na uhaya
Acheni wivu, ni msim wake wasukuma kutamba.acha kabisa ndg. sasa iv halmashauri nyingi wataanza kufanya vikao kwa kilugha. kuna wilaya nyingine wamekutana DC na DED wote wa kulekule
Mkuu sema pole pole kiongozi wangu! Kunya anye kuku, akinya bata ameharisha??NAULIZA TENA JAMANI, LUGHA HII YA MATAAHIRA INARUHUSIWA HAPA????
wacha arare nao mbere sambambaAcheni wivu, ni msim wake wasukuma kutamba.