Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Samahan ivi uyu kamata si ndio yule tuliyemchangia mchango wa haruc alaf akasepa au?
 
Nina uhakika mwaka huu kwenye uteuzi wa ma DED adverse selection ilifanyika kwa kiwango kikubwa...wale watakaoshindwa kufanya moral hazard lazima watatumbuliwa tu. Ifikapo 2020 kama hawa maded wengi watakuwa hawajatumbuliwa basi baada ya uchaguzi wengi hawatarudi kwenye hizo nafasi. Natamani niweke baadhi ya ushahidi why kuna watu hawakufaa lakini naona niache magufuli mwenyewe atawaona.
wewe ni mmoja wa watu walioanza kunielewa.itakuwa umetoka humu na kuulizia mahali.ishu sio uwezo,ni indugunaizesheni
 
Mtoto wa Mzee Mkandya wa Sengerema.Kwao ni opposite na Sengerema mission hospital.Baba yao alikuwa na Guest hapo hapo mission inaitwa Mkandya's Guest house.Source:Nimesoma O level na dada yake Rachel Mkandya (Dr?) Sekondari Y na A level nikapelekwa Sengerema secondary nikawa naenda kuwatembelea.Ni "wadada' wastaarabu, wasomi na wachapa kazi.Bibafsi nachukia watu wanaozungunzia ukabila.
 
Hakuna mchaga aliyewahi kushika nafasi za uteuzi akawateua wachaga kwa wingi.
Hapajawahi hata kuwa na waziri mkuu mchaga hapa Tanzania.
Hata uwaziri tu ni wa kuhesabu.

Sasa hiyo zamu yao ilikua ipi?
Acheni ukabila?
Hii nchi ni ya watanzania wote na ndio maana Nyerere alikua hapendi haya makabila makubwa yashike Madaraka.
Mana hata wakati mwingine jambo likiwa sawa litaonekana kama ukabila.

Watanzania wataamua wenyewe kama kuna ukabila au hakuna kwenye teuzi.
Muda ndio utasema.
Na kwa sababu kuna Makabila 125 kabila moja halitaweza kamwe kuimiliki hii nchi peke yake.
Kodi wanatoa wote halafu kwenye nafasi zinapoishia hizo kodi ziishie kwenye kabila moja!!! Hiyo haitawezekana na haitakubalika kamwe.

Mpaka sasa naona kama mkuu wa nchi anafanya teuzi zake kwa mujibu wa katiba ya nchi. Sasa kama kuna watu wanataka ateue kwa ukabila eti ni zamu yao naona wanataka kumopotisha na kukiangusha chama cha mapinduzi kwani hii nchi ina makabila mengi sana na marais waliopita walijitahidi kuepuka hayo mambo.

Huwezi kusema kuwa kabila fulani ndilo linalolipa kodi kuliko wengine ili wao ndio waifaidi zaidi ya wengine.

Kama ni umaskini basi yapo Makabila mengine mengi sana maskini sana lakini ndio mtaji mkubwa wa kura za kuiweka CCM madarakani bila kujali nani anagombea.

Na haya maneno maneno yataondoka tu pale katiba itakapoondoa huu utaratibu wa rais kuteua watu kila sehemu.

Utaratibu uwekwe kwenye katiba kuwa kila nafasi za kisiasa ziwe ni za kugombea na nafasi za kitaalam watu watume maombi na nafasi zitangazwe watu washindane kwa taaluma na namna watakavyotekeleza malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Kwa kweli mara nyingine kumtoa mtu fulani akawe mkuu wa wilaya au mkoa fulani ni kuwakosea watu wa mkoa huo haki kwa kuwa hawezi kuwa na nia ya thati ya kuwaletea maendeleo zaidi ya kujitafutia fursa kama kujimilikisha mashamba na viwanja na hatimaye kuhamishwa na kuacha migogoro ya ardhi.Bila shaka angekua mkazi na akagombea hiyo nafasi hangeweza kufanya ujinga wa kuangalia maslahi yake na yule aliyempa nafasi hiyo mezani.

Tubadili katiba vinginevyo tuache kulialia rais anapofanya uteuzi.
Labda hayo maombi ya kazi yaperekwe ulaya then tuletewe majibu kuwa aliyeshinda huyu.
 
Karne hii na zama hizi ni za mwendo kasi na kanda maarumu! Wengine msubiri zamu yenu!!
 
wewe ni mmoja wa watu walioanza kunielewa.itakuwa umetoka humu na kuulizia mahali.ishu sio uwezo,ni indugunaizesheni
....we sio mzima kichwani!....unaomba uoneshwe majungu yako,hii post uliandikiwa?
...na kumbe uwezo wa mtu siku hizi imekuwa sio ishu?
..wahi matibabu haraka!
 
....we sio mzima kichwani!....unaomba uoneshwe majungu yako,hii post uliandikiwa?
...na kumbe uwezo wa mtu siku hizi imekuwa sio ishu?
..wahi matibabu haraka!
ni kweli mimi sio mzima kichwani.hapa unaongea na bangi.tuonyeshe huo uwezo wa wake hapa basi wote tufurahi. ninahakika unajibalaguza tu. ni wapi niliposema uwezo wa mtu sio ishu.kuna kigezo kingine kwenye cheo zaidi ya uwezo? Hapa kinacholalamikiwa ni watu kadhaa kupewa vyeo sio kwa sababu ya uwezo wao, ni kwa sababu ya kifamilia zaidi.Tupe CV ya niliyemletea majungu kama huna piga kimya, ukipenda nenda post no.85 ukajiliwaze

Huyu kwao sengerema, na nishemejie magufuli. Ni mdogo wake na make wa kwanza wa magufuli akiwa bado mwalimu. Kwao ni nyamazugo road mjin sengerema.
 
wanaume mke busy kumjadili mwanamke hata aibu hamna?
 
Hivi majukumu ya DED ni yapi na mshahara wake ni sh ngapi? Tofauti yake na RAS na DC ni ipi? Maana unaweza kuta wamejazwa watu wengi kwa kazi ya ntu mmoja
 
Back
Top Bottom