Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Mnachotaka nini? kama anasifa na amehakikiwa cheti, nyie kinachowakereketa ni nini?
 
Awamu zote tz hata ya Mwl kuna nafasi aliwapa watu wake kama mtu ana elimu na utendaji bora haina shida.

Ukienda CRDB tuu unakuta wachaga ni wengi sababu wamesoma na wana reference ya utendaji. Ukienda kwa Bakharesa watu wa pwani wamejaa.

EOTF ilipeleka mabinti wa kichaga kwenda kusoma marekani leo wananafasi nzuri makazini. Zaza ni zamu ya kanda ya ziwa tutulie ili mradi mambo yaende.
 
  • Thanks
Reactions: KGM
Na bado akina masawe wamekula mno hii nchi sasa zamu ya waliooitwa tangu uhuru washamba ha haaas
Hata km wamekula ni kwa nguvu na juhudi zao siyo km hawa kina Ngosha wanaoteleza kwa ganda la ndiz na kulindana mpka forger yan hakujawah tokea kabila la ajabu km hili tz mf Yule mzur Yule mchungaj mropokaji na mpga dil wa kulekule kolomij**
 
Ila kwa staili ya uvaaji wake ni kama mwalimu wa shule za msingi za vijijini kama Mpandangindo Songea kavaa spesho gauni la kuendea semina ya kusimamia uchaguzi mkuu.
Hahaaa,na kaushamba anako,chagulaga ndoho tabu
 
Haya makaburi mengine mnafukua bado maiti hazijaliwa na wadudu. Haya huyu ni mdogo wake na mama yetu yule mkubwa ambaye naye yupo hukohuko mnakofukua
Sio mdogo wake ....acheni fix ...au ndio yale yale kasema Mange! ...
 
Huyu dada wa watu mtamuua
Maana kuna siku alilia mbele ya kamati ya bunge baada ya report ya CAG kusomwa na kuonekana pana uwizi mwingi sana hapo Gairo

Yeye badala ya kusema mambo hayo yalitokea akiwa hajapokea ofisi,ye akaanza kulia tu.Sasa kwa hili atabaki salama kweli?Nimeona vijana wanamchafua kweli huko mitandaoni
 
Nimesoma post moja FB inasema ni shemeji yake NANIHINO
 
Back
Top Bottom