Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Nlipoona title ya thread nikajua ameelezwa, nikaifungua chap... ulivoomba data zake nikaishiwa na maneno. wanaomfahamu wanakuja
Mkuu sikua mbali na ww nilijua kaanika kila kitu hapa....kazi ibaki kumeza tu.
Ngoja waje
 
Akina Masawe hatuli nchi kwakuteuliwa, tunakula nchi kwa kutumia akili za kuzaliwa.... Sasahivi tupo ubia na ndugu zetu Wakinga tunataka inunua k, koo na sinza... Only Mrema is looking for uteuzi
Ha.ha haaa haa hata inchi itachukuliwa mdogo mdogo Zitto akomae na waha wenzie
 
Tuwekeni mbali ukabila kwani kuna wale tulimsapoti Dr. Slaa na Lowassa japo si wasukuma.
achana nao hao wanataka kila sehemu wakae wao huko tra wamejaa hadi wanaongea kilugha ofisini,kinachotakiwa vigezo vimetimia basi inatosha
 
Back
Top Bottom