Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,625
- 5,341
Huyu mwanzisha uzi huwa namuangalia tu, toka kipindi kile cha uchaguzi uzi hata hauleweki anataka nini...?! Makamanda wengine tulishaona ni upuuzi toka watuletee stori za ajabu...achana nao hao wanataka kila sehemu wakae wao huko tra wamejaa hadi wanaongea kilugha ofisini,kinachotakiwa vigezo vimetimia basi inatosha
Kwa mtindo huu, tutaondoka kwenye hicho chama chake...