Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,765
Mleta mada na wengine akina .....ndio walikuwa vinara wa kutupa breakn news na uelekeo wa kampeni za ukawa kuwania ofisi ya Magogoni na Mimi binafsi akili zangu zote nilikabidhi kwao. Kwa mada hii nimeelewa Ukawa yetu ikikuwa chini watu wa aina gani! We Mungu nisamehe kwa kukodisha ufahamu wangu kwa akina nyumbu
