Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Na ije. Na ije upesi mama. Nimesikitika leo nimekutana na mdada ana bachela ya uhasibu tangu 2014 yupo mtaani. Sasa kaajiriwa kwenye steshenari anafanya kazi ya kutoa photocopy!Naiona nchi ya viwanda yaja.... Usedcountrynewpipo