Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Angalia leo hii wanavyosifia na kueneza namna rais Samia anavyopiga kazi
Kuanzia kuongeza mishahara watumishi wa umma, kutimiza mahitaji ya wananchi kama kununua vifaa tiba na madawa. Wanasifia na kulelezea vyema
Sasa sijui ni kwa nini? Au asali imekolea kwa cheamani?
Kuanzia kuongeza mishahara watumishi wa umma, kutimiza mahitaji ya wananchi kama kununua vifaa tiba na madawa. Wanasifia na kulelezea vyema
Sasa sijui ni kwa nini? Au asali imekolea kwa cheamani?