BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,496
- 14,113
kabisa
Kwani ukiuza nyama huwezi kujua huduma zingine mbona unatukana kazi za watu??? shida ya nchi hii ina watu wengi sana ambao uwezo wao kutambua mambo ni mdogo mnoo...Unajuaje taaluma ya afya ilihali executive officer wote wanatibiwa pale lakini the way ulivyoandika mhimbiri na kurudia nilithibitisha utakuwa dalali wa kupeleka nyama pale hospitali