Wakanda2021
Member
- Apr 27, 2013
- 70
- 8
Na werema anapopewa cheo na kikwete asante anayompa nini ni? Huyu hana hata hadhi ya kuwa ag, kilaza wa ccm
Unajua kule kwetu mwanaume akisimama na kuzungumza wanaume wanasikiliza, kinamama au wasichana wanafunga midomo..lakini sasa mimi ninapozungumza ndugu yangu Mdee unafunua mdomo sijui nikuweke kwenye kundi gani la Lady au Gentlemen, alisema AG Werema.
Haya bana hata hivyo kunguru hafugiki...
Nadhani jinsia ya mzungumzji nayo inapaswa kuhojiwa
Ndivyo ambavyo huanza kupanda matatizo yao kwa reference zao hizo.....sasa hivi wanaanza kuhusisha tabia za watu na makabila...halafu likisanuka na moto wa ukabila kushika kasi wataanza kuhangaika kutafuta wa kumsingizia uasisi wa ukabila, kama ilivyo sasa kwenye udini.
afu eti anasisitiza hana chama...wakati ni AGCCM pure...!!
Kwaiyo hapo kunguru ni nani?
Wanaekutana nae wanamchezea hawamshiki kama beberu
Huyu jamaa kichwa boksi kinoma yaani. Mi hata simuelewi mkurya gani kilaza kama huyu