AG amemdhalilisha Halima Mdee bungeni

AG amemdhalilisha Halima Mdee bungeni

Huyu jamaa kichwa boksi kinoma yaani. Mi hata simuelewi mkurya gani kilaza kama huyu

Atakuwa mkenya huyu jamaa, kama ni kweli kwao mwanaume akisimama kuongea wanawake wanaziba midomo, iweje Halima hakuona kuna mwanaume kasimama? Au arekebishe sauti yake anapoongea ili ifahamike kuna mwanaume anaongea ...
 
Udhalilishaji wa KIJINSIA sio lazima hadi MTU apigwe, KWA kweli amedhalilisha wanawake wote wakiwemo na mabinti zake

Na mama yake mzazi, na mke wake na bibi yake na shemeji jake na wakwe zake Pumbavu zake kabisa
na ili kuwajua ni jinsia gani akawavue nguo coz ameonesha adabu zake ni ndogo.
 
Kumbe mwanasheria wa serikali huwa anawavua nguo mama yake, dada zake, mkewe, na kinamama wote ili kuhakiki jinsia! eti kasomea sheria TEHE TEHE TEHE hafahamu hata maana ya udhalilishaji wa jinsia na haki za binadamu. CCM imekalia kisiki kigumu kwa kumweka AG! kilaza!!!!!
 
Back
Top Bottom