AG amemdhalilisha Halima Mdee bungeni

AG amemdhalilisha Halima Mdee bungeni

Utani kwenye mada serious na wakati anatoa hoja?si inaingia kwenye hansard?ule ni udhalilishaji...!!
 
I wonder if other women were happy with these abusive remarks from werema.the problem with werema is that he views the world from his own narrow subjective experience.for me,i will take werema remarks over mdee to the opposite,that mdee is more couragious,aggressive,assertive and patriotic than that bunch of ccm male wimps (cowards) who call themselves parliamentarians,werema is used to see people being quiet and obedient to those considered in the higher positions of leadership or older or on sex.this guy is also a sexist in every sense of the word.women irregardless of their political affiliations should rally against this macho.
 
Yeye kama mwanasheria mkuu wa serikali anashindwa kutofautisha hilo. Je mambo ya muhimu zaidi ya hilo anafanyaje. Ndio maana ushauri wake serikalini kunaipeleka NCHI KUBAYA
 
Mdee wembe huo huo nchi hii si ya jaji mkuu ni ya watanzania maadili ya ya kikabila yaheshimiwe lakini c pasipositahili kutumia loophole hiyo ahsante mdee wewe ni jembe mama
 
Kwanza ni vema nikusahihishe kidogo, mdee alisema hivi kama mfumo uliopo hautabadilika yeye na chama chake chadema watakwenda kumwaga sumu kwa wananchi sikujua sumu alimaanisha nii.
 
werema alipanic akaanza kuwashambulia kina Lisu na mdee ili kuwaondoa kwenye hoja.lakini nilifurahishwa sana na responce ya Lissu kwani hakujibu kejeli badala yake alijikita kwenye hoja.kwa wananchi na wafuatiliaji makini wa tukio hili Lissu alionekana anatetea watanganyika huku werema akiongea kama gendaheka flanu hivi ambaye mwisho wa siku anajua wingi wa kura ungemlinda.
Naibu waziri wa katiba na sheria aliweza kujibu hoja kuliko alivyofanya werema.

Mimi nadhani Werema aanze kujitazama yeye kwanza kama ni Me au Ke kwa sababu ukiona mwanamke hakuheshimu mpaka unashindwa kumuelewa basi na wewe muonekano wako una walakini.
 
Halima Mdee wewe ni mwakilishi safi sana ila acha lugha ya mtaani bungeni. Rusha mawe kama kawa ila tumia lugha ya staha. Unaona sasa mtu mzima judge amekurushia jembe.
 
Jaji werema kamdhalilisha Mbunge wa kawe Mh Halima Mdee pia na wapiga kura wa kawe!

Amuombe radhi mdee na wapiga kura wake! Sitaki kuamini werema ni jaji uchwara anayetumia "masaburi" kufikiria.

Wenyewe wamejidhalilisha kumchagua mmiliki wa mashine kuwa mbunge wao. Anyways jimbo hilo la kawe ndio linaongoza kwa jamii za LGBT
 
Halima anasauti ya kiume tu,lakini vitu vingine vyote vya kike namfahamu msimsumbue mbunge wangu.
 
Kwanza ni vema nikusahihishe kidogo, mdee alisema hivi kama mfumo uliopo hautabadilika yeye na chama chake chadema watakwenda kumwaga sumu kwa wananchi sikujua sumu alimaanisha nii.[/QUOTE

Ni kweli kabisa mkuu ,
huyu Bro Mdee alisema wataenda kumwaga sumu,lkn Prf.BEREGU kawalegeza.
 
Back
Top Bottom