Afya ya Lwakatare YAZOROTA

Dhamana ya nn? Huyu hatari kuliko kina ponda na uamsho tusifanye mchezo na usalama wa nchi
Kama kina ponda wamenyimwa dhamana tena mahakamani huyu anaweza kuzuiwa kutumia sheria ya ugaidi hapa inafaa
Tusiwe double standard tuhuma ni nzito na zinahusu uhai wa watu


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
 
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
Huyo shekhe angetoa maagizo ya kuwadhuru viongozi wa serikali angekuwa ameshakamatwa siku nyingi.
 
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?

Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
 
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.

Wote Magaidi,ngoja Gaidi namba moja Lwakatare ashugulikiwe atafuata huyo Ilunga
 
Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.

Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".

Pasco.

Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
 
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.

Kweli Chadema mmebanwa unakumbuka hadi mwezi! Mzimu wa Chacha wangwe una waandama
 
Panya wa Pemba wanakutendea haki kwa kukupuliza kisogoni kwani inaoonyesha wazi kabisa wewe ni ------nyaji na ndo maana unaongea upumbavu wako.

Wewe ni Mwislamu hata ukitukana mtandaoni huwezi kukamatwa kama ambavyo ustaadhi ILUNGA hajakamatwa!..Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
 
Nashangaa kuona watu wana mpinga Pasco kwa kusema video ya lwakatare ni genuine and at the same time wao wanataka tuamini kuwa video imetengenezwa kwa vigezo vyao ili hali na wao hawana ujuzi ktk video foreinsic.
Kama tunataka haki itendeke tuliachie jeshi la polisi limuhoji lwakatare juu ya kile alicho kizungumza kwenye video.
 
Nashangaa kuona watu wana mpinga Pasco kwa kusema video ya lwakatare ni genuine and at the same time wao wanataka tuamini kuwa video imetengenezwa kwa vigezo vyao ili hali na wao hawana ujuzi ktk video foreinsic.
Kama tunataka haki itendeke tuliachie jeshi la polisi limuhoji lwakatare juu ya kile alicho kizungumza kwenye video.

Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
 
Pasco wewe ni ndumila kuwili, huwa unasubiri kwa hamu mabaya yaifike CHADEMA, sijui CHADEMA ikisambaratika leo wewe utafaidika nini, au watanzania watanufaikaje? Nasikitiswa na wasomi maslahi! Unajua kabisa background ya hii story kuanzia kwa mwigulu lakini hamkuwahi kumshinikiza mwigulu apeleke ushahidi wake police aliodai anao wa kuhatarisha usalama wa nchi! Leo mnashabikia video ya mtandaoni msiojua nani kaiweka na kwa motive gani? Njaa zitawaua!
 
Last edited by a moderator:
Kama alijua ana kisukari angeepuka kujiingiza kwenye ugaidi.

Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
 
Mimi niko tayari kuwa chadema hata watanzania wote wakikihama! Nimeshoshwa na upuuuzi wa baadhi ya watanzania! Wanachezeshwa na CCM kama midoli! Shame on you!
 
Mkuu Capiteni Tamari, kuhusu "bonafide genuine" only time will tell!. Hili la "ukurupukaji", naomba nilihifadhi, maana baadhi ya "wakurupukaji" wa ukweli, ni watu tunaowaheshimu, na wana daraja za juu sana katika jamii!.
hayo mengine, "wewe wasema!".
Pasco.

kwa hiyo kwa hiyo nawewe unataka kuwa wa daraja la juu kwa kuwa mkulupukaji? Huu ni ujinga na watu kama wewe ndio mnao irudisha nyuma hii nchi
 
Mbona baadhi ya wachangiaji wamerudisha mada kwenye udini? Kuna watu hawawezi kabisa kuwa na mawazo huru ni lazima wafungwe kwenye minyororo ya udini. Akili ndogo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Ni tatizo la kutoruhusu kichwa chako kufikiri!.. Shehe ILUNGA ametoa CD iliyorekodiwa bila kificho na kutoa maagizo kwa waislamu waue MAASKOFU, MAPADRE, WALEI na wakristo wengine. CD hii imeenea kila mahali na kila mkoa ipo. Makanisani na misikitini inajadiliwa!.. CHA AJABU HUYU KWA KUWA NI MWISLAMU HAJAKAMATWA ni miezi 6 tangu atende uhalifu huu!... Matokeo ya maagizo yake tumeyaona makanisa 26 yamechomwa moto bara na visiwani, padre mmoja kauawa, mmoja kajeruhiwa kwa risasi na mchungaji mmoja kauawa. Je, hii ni siasa au UDINI!
 
Back
Top Bottom