Dhamana ya nn? Huyu hatari kuliko kina ponda na uamsho tusifanye mchezo na usalama wa nchi
Kama kina ponda wamenyimwa dhamana tena mahakamani huyu anaweza kuzuiwa kutumia sheria ya ugaidi hapa inafaa
Tusiwe double standard tuhuma ni nzito na zinahusu uhai wa watu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.