Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,590
It takes strong men to implement strong institutions...TZ needs strong INSTITUTIONS not strong men.
It takes strong men to implement strong institutions...TZ needs strong INSTITUTIONS not strong men.
I have no doubt with his stand against grand corruption, but I think that,the best thing JPM can do it is to ensure there would be strong Institutions which shall act reagardles who is power since it wont be possible to have another Magufuli.Withouth strong governance Institutions,I have no doubt that come 2026 all the gains we have realized in just four years of his presidency would be history .
Wasukuma akili zenu hivi zikoje?
Kwamba tubadili katiba yetu ili tu imruhusu mtu mmoja atutawale Hadi afe?
Hivi mnamaanisha kabisaaa kutoka kwenye dhamira zenu au mnakua mnatania tu?
Ana upekee gani huyu?!
Kwamba katika Watanzania karibu million 60 hatapatikana yeyote afaaye mpaka ilazimu kurekebisha katiba yetu ili tu Magufuli msukuma wa Chato aendelee kuongeza mpaka Mungu atakapomchukua?Ndiyo maana yake. Maana anakuwa kaishaibadili mfumo na mfumo mpya kuwa stable. Maana tukisema amalize 2025.Huyo atakaekuja ataturudisha nyuma kuliko hata ilivyokuwa mwanzoni.
Nyani ngabu is back
Sasa huyu mnayemshabikia kwamba atawale milele ametengeneza taasisi zipi imara?It takes strong men to implement strong institutions.
There were so many questions concerning you,Delighted to see me?
It takes strong men to implement strong institutions.
Not all strong men make strong institutionsIt takes strong men to implement strong institutions.
swali jiwe.....What are those institutions, anyway? What are they made of?
Unaposema taasisi imara una maana gani labda mkuu? Watu imara? watu waaminifu? Aunde kitengo maalum? Ninini?Nyani Ngabu unapendekeza nini??maana kwa mwandiko wako inaonekana hatuna alternative kabisa,ni yeye tu peke yake kati ya watanzania million 55 anayeweza kuiongoza nchi,pendekezo la taasisi imara inaonekana nalo hulitaki kwa kuhofia aina ya watanzania wanaoziongoza hizo taasisi...
The folly of Magufuli is in his lacking a decidedly comprehensive approach towards whatever he is doing or saying.President Magufuli.
It’s like he’s the only one who cares.
The only one who’s at least trying to do something about it.
It seems like he is fighting it all by his lonesome.
After he is gone, after he is no longer president, then what?
Will things revert back to how they were before he took the reigns of power?
I don’t have the answers to those questions so I will just have to wait for Father Time to tell me.
But such are the pernicious effects of unchecked venality.
People got so used to cutting corners in just about everything imaginable.
Corruption, grand and petty, became the norm.
Then he came along and tried to upset the apple cart. And to no surprise but to the chagrin of some of us, the pushback he’s getting makes us scratch our heads.
For years many people have been virtue signaling about the pervasiveness of corruption in the country.
Then it’s these same people who are now against the efforts made to combat it.
I don’t get it and maybe I’ll never get it.
I lay blame squarely on CCM for fostering it. They are the ones who created this ogre of corruption and allowed it to grow to uncontrollable levels.
It’s sad to see even what would seemingly be minor projects being micromanaged by the president.
Like, without his direct supervision nothing will ever get done.
Sometimes I wonder if we even know what we really want!
Sad state of affairs.
Mnachokisema kiko very imaginary unless sielewi na niko tayari kueleweshwa......YES.
..we need men and women to run those institutions.
..but some ppl want us to believe that Magufuli, can run everything by himself, and if he is not in power the country will survive.
Propose a list mkuu ya taasisi imara... it might make more sense..YES.
..we need men and women to run those institutions.
..but some ppl want us to believe that Magufuli, can run everything by himself, and if he is not in power the country will survive.
Mnachokisema kiko very imaginary unless sielewi na niko tayari kueleweshwa....
Watu imara watoke wapi wakati tunajijua watz wote madhaifu yetu? Kuna watu ama iundwe timu ya kijeshi kama SWAT?
Institutions are people, though. Right?
Mnachokisema kiko very imaginary unless sielewi na niko tayari kueleweshwa....
Watu imara watoke wapi wakati tunajijua watz wote madhaifu yetu? Kuna watu ama iundwe timu ya kijeshi kama SWAT?
..but the way you presented your arguments it is as if we dont need institutions, and ppl are useless, we only need John Pombe Joseph Magufuli.
..just to remind you, there were ppl who thought the country can not survive without Mwalimu Nyerere being our President.
..once Mwalimu vacated the Presidency,some apprehensive that Tanzania "tutasambaratika" if Mwalimu died.
..But we are still here, and moving on with our efforts to make our country better for every Tanzanian.