Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 6,000
Mswaada wa kuanzisha MUNGU wa Afrika nakuandika Biblia ya Afrika chini ya Uafrika.
Ndugu zangu Waafrika, kwa wiki mbili hivi nilikuwa nimezama kwenye tafakuri pana sana juu ya imani ya mtu mweusi dhidi ya dini, Mungu wake, Nimebaini waafrika tunaamini kisicho chetu, tumemetelekeza kuendeleza imani yetu na Mungu wetu na badala yake tunamwabudu Mungu wa masimulizi ya Ukalidayo na kuamini dini za kuletwa kwa majahazi,
Hivyo kwa heshima ya Dini ya kale ya Kiafrika na Mungu wetu, nimeaamua kuanzisha Mchakato wa uandikaji wa Biblia ya Dini ya Kiafrika na Uundwaji na usimikwaji wa MUNGU wa Afrika.
Bibilia hii itaundwa kwa vitabu vikuu VITANO, ambavyo itakuwa ni mkusanyo wa vitabu vifuatavyo;
Afrika ya Mashariki, Afrika Magharibi, Afrika Kaskazini, Afrika ya Kati, Afrika Kusini. Mitume tutakaowafuata maono yao ni pamoja na Chifu Mkwawa, Kitabu A.Msh Tagk, Chifu Monziyno, Kitabu A.Magh Nigr. Nk.
Pia wataalamu na waamuzi mbali watakuwemo kama vile Ng'wanamalundi, Umuvuginza, nk.
Ninakaribisha maoni ya Uandikaji wa biblia hii. Kitaitwa kitabu cha uafrika, Tayari mchakato unaendelea, nakaribisha maoni ya wadau.
Mkiambiwa chama chenu ni cha kidini mnarefusha midomo kama yule ndege mla nyoka.
sasa bandiko ziiiiima ni biblia.by the way,kama mliweza kumchagua mwanadamu ndiye awe mungu wenu
then leo hamshindwi kumtengeneza mungu mpya!!!!