Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,026
- 20,511
Muigizaji wa filamu wa Marekani,Bruce Willis, katika filamu yakekuhusu Afrika, hasa Nigeria ilikofanyiwa uigizaji, ‘Tears of theSun', kuna wakati alikuwa akiagwana mchungaji mmoja mzungualiyekataa kuondoka eneo lamapigano, akiambiwa, "God be Withyou" (Bwana awe nanyi); Willisalisita kidogo na baadaye kusema,"God left Africa long timeago." (Mungu Alisha iacha Afrikakitambo." Na msaidizi wake, Red,aliunga mkono kwa kusema"Yeah" (ni kweli)."Tears of the sun" ni kama ilitabirikinachotokea sasa kati ya wananchina Boko Haram.
Ingawa mrengo namuktadha ni tofauti lakini ukweli nikwamba kama kuna Mungu basiBoko Haram wanathibitisha kuwaAlisha iacha kitambo. Afrika ni nchiambapo viongozi, na siyo BokoHaram, Lord Resistance Army,Seleka, au Antibalaka, au Al-Shabaabpeke yako, wanaonyesha kuwaMungu amewakasirikia. Hayupo nao.Na kuwa kuongezeka au makundiyanayoakisi kutokuwapo kwa (neemaza) Mungu inatokana na uongoziambao haumjali Muumba.Huko Nigeria, wakati wananchiwanaendelea kuuwawa kwa idadikubwa na Boko Haram wakindeleakuonyesha kutishika, serikaliinaendelea na uchaguzi kama vilehakuna kitu kinachotokea, nawanasema huko wanakouawauchaguzi hautafanyika. Wanauawakunyimwa haki yao ya kuishi, nawanaambiwa kura nayo siyo hakiyao.
Viongozi wamepandishamashetani ya kuwa viongozi, nawanaona kuuawa kwa wananchiwengine sio kigezo cha kutoshelezakuahirisha uchaguzi.Kwa tatizo hilo ni la watu wa kasikazini, na sie wengine hatumo.Afrika ilimwasi Mungu, kwani tabiaya kutojali haki za wananchi wenzaoni ishara mojawapo. Familia zaviongozi, viongozi wenyewe,maswahiba wao, hawaoni hayakuwalinda waovu wanaoiba mali zaumma. Matajri wengi wa Afrika nahasa viongozi, wanatokana na kuibafedha za umma ama kudhulumu hakiza raia.
Grace Mugabe anadaiwakuua wananchi wenzake kwakuwaachia wanyama maeneoambayo wananchi walikuwawakiishi, ili waondoke na yeye awezekuanzisha bustani yake ya wanyamakwa ajili ya utalii. Kuna Munguhapo? Na sidhani kama GraceMugabe anawaona wananchi haowanaofukuzwa kikatili kwenye ardhiyao kama nao ni watoto wa Mungu.Afrika imejawa na viongozi wengiambao kila uchao wanawaza namnagani watatumia fursa zao za uongozikujimilikisha utajiri.
Kwa sasa hatuioni Afrika ambayo viongozi ni wale wa miaka kabla ya kipindi hikicha mageuzi ya kiuchumi, ambapowakati huo (viongozi) walikuwawakipanga namna ya kuwakomboaWaafrika wenzao kiuchumi.Nyakati zile za Jaramogi OdingaOginga, Nyerere, Kwameh Nkrumah,Murtala Mohamed na ThomasSankara.
Huu ni wa wakati ambapoviongozi wengi huwa wanapanganamna gani watashirikiana wao kwawao kuitafuna nchi; wanapangakushirikiana na mafisadi wenzao wandani (baadhi ya wafanyabiashara),kuihujumu nchi; wakishirikiana namashirika ya nje na nchi za njekutafuta utajiri wetu.Inanishangaza sana kuona viongoziwakienda kanisani au misikitini, hukujana yake tu wamekuwa wakifanyamikutano ya siri na wanaouza dawaza kulevya, wakijua kuwa taifa lilewalilioapa kulilinda dhidi ya uovundilo wanaloliangamiza kwa dawaza kulevya.
Kwa mfano, unakuwajewaziri unayeahidi ajira 100 halafujioni unakuwa na kikao na wauzaunga? Hizo ajira 100 zitafanywa nanani? Hao vijana hawana kazi, badounataka kuwadhulumu kidogowanachokipata kwa kuwauzia dawaza kulevya wasijimudu kabisa.Mungu anaweza kuwa yupo hapo?Kiongozi anaapa kuwa atalinda nchina watu wake, na vyote vilivyomo.
Lakini mara baada ya igizo la kiapo,kiongozi anataka kujua wapi atapatasoko la siri la dhahabu, meno yatembo, vipusa, na kadhalika, iliaweze kujitajirisha na kuwalindawalio nje au ndani ya serikali yake.Afrika ilishamuudhi Mungu na yeyeameshaitelekez, na Bruce Willishajakosea kabisa. Afrika hii ambayoina utajiri lakini haitaki kuwa tajiriisipokuwa inataka tu viongozi wakepekee wawe tajiri hawana sababu yakusema Mungu atatujalia! Munguhawezi kuijaalia nchi ambayo kilauchao viongozi wao wanafikirianamna gani wataifilisi nchi yao.
Mungu alishaliacha bara hili.
Chanzo: Nipashe
Ingawa mrengo namuktadha ni tofauti lakini ukweli nikwamba kama kuna Mungu basiBoko Haram wanathibitisha kuwaAlisha iacha kitambo. Afrika ni nchiambapo viongozi, na siyo BokoHaram, Lord Resistance Army,Seleka, au Antibalaka, au Al-Shabaabpeke yako, wanaonyesha kuwaMungu amewakasirikia. Hayupo nao.Na kuwa kuongezeka au makundiyanayoakisi kutokuwapo kwa (neemaza) Mungu inatokana na uongoziambao haumjali Muumba.Huko Nigeria, wakati wananchiwanaendelea kuuwawa kwa idadikubwa na Boko Haram wakindeleakuonyesha kutishika, serikaliinaendelea na uchaguzi kama vilehakuna kitu kinachotokea, nawanasema huko wanakouawauchaguzi hautafanyika. Wanauawakunyimwa haki yao ya kuishi, nawanaambiwa kura nayo siyo hakiyao.
Viongozi wamepandishamashetani ya kuwa viongozi, nawanaona kuuawa kwa wananchiwengine sio kigezo cha kutoshelezakuahirisha uchaguzi.Kwa tatizo hilo ni la watu wa kasikazini, na sie wengine hatumo.Afrika ilimwasi Mungu, kwani tabiaya kutojali haki za wananchi wenzaoni ishara mojawapo. Familia zaviongozi, viongozi wenyewe,maswahiba wao, hawaoni hayakuwalinda waovu wanaoiba mali zaumma. Matajri wengi wa Afrika nahasa viongozi, wanatokana na kuibafedha za umma ama kudhulumu hakiza raia.
Grace Mugabe anadaiwakuua wananchi wenzake kwakuwaachia wanyama maeneoambayo wananchi walikuwawakiishi, ili waondoke na yeye awezekuanzisha bustani yake ya wanyamakwa ajili ya utalii. Kuna Munguhapo? Na sidhani kama GraceMugabe anawaona wananchi haowanaofukuzwa kikatili kwenye ardhiyao kama nao ni watoto wa Mungu.Afrika imejawa na viongozi wengiambao kila uchao wanawaza namnagani watatumia fursa zao za uongozikujimilikisha utajiri.
Kwa sasa hatuioni Afrika ambayo viongozi ni wale wa miaka kabla ya kipindi hikicha mageuzi ya kiuchumi, ambapowakati huo (viongozi) walikuwawakipanga namna ya kuwakomboaWaafrika wenzao kiuchumi.Nyakati zile za Jaramogi OdingaOginga, Nyerere, Kwameh Nkrumah,Murtala Mohamed na ThomasSankara.
Huu ni wa wakati ambapoviongozi wengi huwa wanapanganamna gani watashirikiana wao kwawao kuitafuna nchi; wanapangakushirikiana na mafisadi wenzao wandani (baadhi ya wafanyabiashara),kuihujumu nchi; wakishirikiana namashirika ya nje na nchi za njekutafuta utajiri wetu.Inanishangaza sana kuona viongoziwakienda kanisani au misikitini, hukujana yake tu wamekuwa wakifanyamikutano ya siri na wanaouza dawaza kulevya, wakijua kuwa taifa lilewalilioapa kulilinda dhidi ya uovundilo wanaloliangamiza kwa dawaza kulevya.
Kwa mfano, unakuwajewaziri unayeahidi ajira 100 halafujioni unakuwa na kikao na wauzaunga? Hizo ajira 100 zitafanywa nanani? Hao vijana hawana kazi, badounataka kuwadhulumu kidogowanachokipata kwa kuwauzia dawaza kulevya wasijimudu kabisa.Mungu anaweza kuwa yupo hapo?Kiongozi anaapa kuwa atalinda nchina watu wake, na vyote vilivyomo.
Lakini mara baada ya igizo la kiapo,kiongozi anataka kujua wapi atapatasoko la siri la dhahabu, meno yatembo, vipusa, na kadhalika, iliaweze kujitajirisha na kuwalindawalio nje au ndani ya serikali yake.Afrika ilishamuudhi Mungu na yeyeameshaitelekez, na Bruce Willishajakosea kabisa. Afrika hii ambayoina utajiri lakini haitaki kuwa tajiriisipokuwa inataka tu viongozi wakepekee wawe tajiri hawana sababu yakusema Mungu atatujalia! Munguhawezi kuijaalia nchi ambayo kilauchao viongozi wao wanafikirianamna gani wataifilisi nchi yao.
Mungu alishaliacha bara hili.
Chanzo: Nipashe