Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,531
- 94,727
Kipi? 😀Kipo bana!
Kipi? 😀Kipo bana!
Kama ni laana basi tumezaliwa nayoNi kama tunalaani
Algeria 🇩🇿 ilipeleka misaada huko SyriaAfrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.
~ Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
~ Lebanon imepeleka watu
~ India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
~ China imepeleka watu (waliojitolea)
~ Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
~ Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Uturuki inajiweza wapi sasa, Turkey imepewa bailouts na IMF, Qatar wamewapa mikopo mpaka walapatiwa currency swaps deni lilipoongezeka ,inflation kwao ilifika 70% plus, wale ni ghost giants, walikuwa juu ila sasa ni ombaomba tu Kama siyenchi ya uturuki ni miongoni mwanchi zinazo jiweza zaidi afirika wanata kupewa pole tu kutoka kwetu
Hahaha, si kwamba anafamasiala,Asilimia 98% ya waafrika wako kama wewe.
Ni majitu fulani hivi useless kabisa. Na hapo hujapretend, ndivyo ulivyo.