Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,782
- 21,007
ukute washaomba msaada wa kusaidiwa kutoa msaada😀Tupo tayari kutoa msaada wowote. Ila ndo tusaidiwe kufika huko
ukute washaomba msaada wa kusaidiwa kutoa msaada😀Tupo tayari kutoa msaada wowote. Ila ndo tusaidiwe kufika huko
Nataka kutoa msaada na hali si wa mali. Sina maliDemi unataka kutoa msaada kwa uturuki ucjali nenda hapo ubalozini kwao kama upo DSM
Hatushindwi nakwambia😀😀ukute washaomba msaada wa kusaidiwa kutoa msaada😀
Wa hali Demi🤣🤣🤣🤣😂😂😂Unajua maana yake!!!Nataka kutoa msaada na hali si wa mali. Sina mali
Najua bana ,wewe labda una maana nyingine 😀.Wa hali Demi🤣🤣🤣🤣😂😂😂Unajua maana yake!!!
Haya nipitie nikupeleke ubalozini tukutane wapi!!!!Najua bana ,wewe labda una maana nyingine 😀.
Kwanza nifahamishe ubalozi wa Turkey upo maeneo ganiHaya nipitie nikupeleke ubalozini tukutane wapi!!!!
Upo oysterbay Demi!!!!!Balozi wao mshikaji tu bishoo🤣🤣😂Kwanza nifahamishe ubalozi wa Turkey upo maeneo gani
Kwani unataka twende mda huu dadangu na upo serious🤣🤣🤣??????? Twende kesho asubuhi ndio mida mizuri ya wageni kupokelewa!!!Au nikuelekeze uende mwenyewe mda huu ni hapo oysterbay mtaa wa Sekou Toure nyumba namba 97!!!Haya nipitie hapa moroco fasta twenzetu
Twende sasa hivi, haya ni majanga yanahitaji hatua zichukuliwe harakaKwani unataka twende mda huu dadangu na upo serious🤣🤣🤣??????? Twende kesho asubuhi ndio mida mizuri ya wageni kupokelewa!!!Au nikuelekeze uende mwenyewe mda huu ni hapo oysterbay mtaa wa Sekou Toure nyumba namba 97!!!
Una roho nzuri ya upendo na huruma Demi🤣🤣🤣🤣 unaonekana wife material🤣🤣🤣Twende sasa hivi, haya ni majanga yanahitaji hatua zichukuliwe haraka
He he heee le wife materialUna roho nzuri ya upendo na huruma Demi🤣🤣🤣🤣 unaonekana wife material🤣🤣🤣
Ndio mama🤣🤣🤣🤣He he heee le wife material
Waafrika sisi ni tatizo
Hakuna tunachoweza nakwambia