Afrika haijatuma msaada wowote Uturuki

Afrika haijatuma msaada wowote Uturuki

Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.

Ukraine iko vitani ila inapeleka watu

Lebanon imepeleka watu

India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa

China imepeleka watu (waliojitolea)

Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa

Urusi imepeleka watu na madawa

Afrika tuna tatizo gani?

Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.

JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Hivi mkuu ni kweli hawana kazi?
Kila kitu ni mipango nafikiri watakuwa wanatafakari namna gani ya kusaidia. Kama Nchi hatuja wahi kukaa kimya kwa matatizo yanayo kumba nchi marafiki
 
Wanaija wanasemaje? au pesa zote za umma wameshatapeli na kwenda kula bata majuu, wacheki pia misri na bondeni SA bila kuwasahau jirani zetu kunyalanda maana wao wana uchumi mkubwa.....
 
Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.

Ukraine iko vitani ila inapeleka watu

Lebanon imepeleka watu

India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa

China imepeleka watu (waliojitolea)

Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa

Urusi imepeleka watu na madawa

Afrika tuna tatizo gani?

Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.

JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Nikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Unajua undercover ngapi ndugu zangu wa JWTZ wanafanya kwa ajili ya kusaidia watu sehemu mbalimbali duniani????Vijana Wengine wamepoteza mpaka maisha yao kulinda amani ya wengine kwa kujitolea kwa mioyo dhabiti!!!Usiwazungumzie vibaya ndugu zangu wa JWTZ!!!!Sawa ndugu yangu
 
Wanaija wanasemaje? au pesa zote za umma wameshatapeli na kwenda kula bata majuu, wacheki pia misri na bondeni SA bila kuwasahau jirani zetu kunyalanda maana wao wana uchumi mkubwa.....
Nigeria hakuna cash muda huu
 
Nikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Unajua undercover ngapi ndugu zangu wa JWTZ wanafanya kwa ajili ya kusaidia watu sehemu mbalimbali duniani????Vijana Wengine wamepoteza mpaka maisha yao kulinda amani ya wengine kwa kujitolea kwa mioyo dhabiti!!!Usiwazungumzie vibaya ndugu zangu wa JWTZ!!!!Sawa ndugu yangu
Hawana msaada wowote ule kwenye hili swala
 
Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.

Ukraine iko vitani ila inapeleka watu

Lebanon imepeleka watu

India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa

China imepeleka watu (waliojitolea)

Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa

Urusi imepeleka watu na madawa

Afrika tuna tatizo gani?

Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.

JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Nikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!
 
Nikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Unajua undercover ngapi ndugu zangu wa JWTZ wanafanya kwa ajili ya kusaidia watu sehemu mbalimbali duniani????Vijana Wengine wamepoteza mpaka maisha yao kulinda amani ya wengine kwa kujitolea kwa mioyo dhabiti!!!Usiwazungumzie vibaya ndugu zangu wa JWTZ!!!!Sawa ndugu yangu
Undercover ya nioko
 
BREAKING: Turkey says three thousand personnel have come from other countries to assist in rescue and support effort
 
Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.

~ Ukraine iko vitani ila inapeleka watu

~ Lebanon imepeleka watu

~ India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa

~ China imepeleka watu (waliojitolea)

~ Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa

~ Urusi imepeleka watu na madawa

Afrika tuna tatizo gani?

Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.

JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Watusaidie usafiri tukasaidie kushuhudia jitihada za uokozi.
Nimeona umeandika kuwa Ukraine amepeleka msaada, Vipi Urusi amepeleka msaada?
Maana nimeona tu Urusi inamuomba Israel ikawasaidie syria
 
Back
Top Bottom