African Satellite World and Sat Gear

African Satellite World and Sat Gear

Wadau, hv naweza kupata local channel kwa kupitia uelekeo wa dish la dstv? Yaani nitumie dish hilohilo?
Unaweza kuzipata lakini zingine zipo scrambled kwenye continental sijui wengine hapo kama wanazipata free, ila kwa kisimbusi nilichonacho sasa hivi kina unlock hizo

Rakims
 
Bennick unachanganya mwenzako. haha....wacha apate iSO20 kwanza .....hizo zingine baadaye akipata 8ft
Kumbe hizo kwa 6ft siwezi kupata? Nimepata nhk world Hd nayo inaonyesha nyoka nyoka tu

Hapo limeganda tu

1560015062235.jpeg
 
Jaribu hiyo transponder kwenye post #30345 utupe mrejesho kama itagoma
Nimezungusha lnb na dish hamna zaidi ya hapo nikishuka chini kidogo cm 2/3 napata NHK nikipanda 2/3 napata AAJ TV na hizo nyingine nikisogea zaidi popote signal zinapotea,
Nipo Shinyanga zina beam kweli hizi?

Rakims
1560015235693.jpeg
 
Jana usiku nilipata colours na rishtey nilivyofanya blind scan zikapotea pale nilipozungusha LNB leo nimezungusha bila mafanikio yani ni action ya cm 1-2 unapata halafu zinapotea

Rakims
. Amateurs tukipanda class tunakuwa na fujo. We just can't wait to share our successes
 
Na hio NHK signal Intensity ipo 62
Signal quality ipo
16%-18% haizidi hapo

Rakims
 
Nimezungusha lnb na dish hamna zaidi ya hapo nikishuka chini kidogo cm 2/3 napata NHK nikipanda 2/3 napata AAJ TV na hizo nyingine nikisogea zaidi popote signal zinapotea,
Nipo Shinyanga zina beam kweli hizi?

RakimsView attachment 1121940
Cheza cheza nayo boss, naona kama imeanza ku beep quality inasoma 10% kwa dekoda ninayotumia mimi nikianza kupata signal quality 10% inakuja na kupotea mara nyingi nakuwa nimekaribia. Cheza taratibu na Azimuth na Elevation.
Hiyo beam ipo TZ yote hadi sumbawanga wanaipata, mimi nipo Njombe mpakani na Ruvuma na na enjoy maisha na IS20
Na je LNB frequency kule kwenye Antenna/ Satellite settings umeset ngapi?
Je umekumbuka kuondoa kile ki biscuit ndani ya LNB?
 
Cheza cheza nayo boss, naona kama imeanza ku beep quality inasoma 10% kwa dekoda ninayotumia mimi nikianza kupata signal quality 10% inakuja na kupotea mara nyingi nakuwa nimekaribia. Cheza taratibu na Azimuth na Elevation.
Hiyo beam ipo TZ yote hadi sumbawanga wanaipata, mimi nipo Njombe mpakani na Ruvuma na na enjoy maisha na IS20
Na je LNB frequency kule kwenye Antenna/ Satellite settings umeset ngapi?
Je umekumbuka kuondoa kile ki biscuit ndani ya LNB?
Kwa 6ft?
 
Niende ilipo arabsat 5c upande huo labda maana huku zaidi ya quality 18 haipandi zaidi
Hapo ulipo fanya adjustment taratibu taratibu ukiwa nyuma ya dishi kwenda kulia au kushoto (Azimuth), kisha binua taratibu juu chini uone jinsi mstari wa quality unavo behave. Uukienda huo upande wa Azam utakuuwa umeshuka sana nyuzi. Kule ni 7E. I wish ningekuwa jirani yako niije nikusaidie jombaa polee
 
Hapo ulipo fanya adjustment taratibu taratibu ukiwa nyuma ya dishi kwenda kulia au kushoto (Azimuth), kisha binua taratibu juu chini uone jinsi mstari wa quality unavo behave. Uukienda huo upande wa Azam utakuuwa umeshuka sana nyuzi. Kule ni 7E. I wish ningekuwa jirani yako niije nikusaidie jombaa polee
Azam si East sasa swali langu hii ipo east au west?
 
Hiyo Is 20 inaonyesha nini wazee, nilikuwa porin mda mrefu mambo mengi yamekuwa mageni
 
Back
Top Bottom