BENNICK
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 634
- 866
Bennick unachanganya mwenzako. haha....wacha apate iSO20 kwanza .....hizo zingine baadaye akipata 8ft

. Amateurs tukipanda class tunakuwa na fujo. We just can't wait to share our successesBennick unachanganya mwenzako. haha....wacha apate iSO20 kwanza .....hizo zingine baadaye akipata 8ft

. Amateurs tukipanda class tunakuwa na fujo. We just can't wait to share our successeshaha ...... Amateurs tukipanda class tunakuwa na fujo. We just can't wait to share our successes
Unaweza kuzipata lakini zingine zipo scrambled kwenye continental sijui wengine hapo kama wanazipata free, ila kwa kisimbusi nilichonacho sasa hivi kina unlock hizoWadau, hv naweza kupata local channel kwa kupitia uelekeo wa dish la dstv? Yaani nitumie dish hilohilo?
Kumbe hizo kwa 6ft siwezi kupata? Nimepata nhk world Hd nayo inaonyesha nyoka nyoka tuBennick unachanganya mwenzako. haha....wacha apate iSO20 kwanza .....hizo zingine baadaye akipata 8ft
Nimezungusha lnb na dish hamna zaidi ya hapo nikishuka chini kidogo cm 2/3 napata NHK nikipanda 2/3 napata AAJ TV na hizo nyingine nikisogea zaidi popote signal zinapotea,Jaribu hiyo transponder kwenye post #30345 utupe mrejesho kama itagoma
. Amateurs tukipanda class tunakuwa na fujo. We just can't wait to share our successes
Cheza cheza nayo boss, naona kama imeanza ku beep quality inasoma 10% kwa dekoda ninayotumia mimi nikianza kupata signal quality 10% inakuja na kupotea mara nyingi nakuwa nimekaribia. Cheza taratibu na Azimuth na Elevation.Nimezungusha lnb na dish hamna zaidi ya hapo nikishuka chini kidogo cm 2/3 napata NHK nikipanda 2/3 napata AAJ TV na hizo nyingine nikisogea zaidi popote signal zinapotea,
Nipo Shinyanga zina beam kweli hizi?
RakimsView attachment 1121940
Kwa 6ft?Cheza cheza nayo boss, naona kama imeanza ku beep quality inasoma 10% kwa dekoda ninayotumia mimi nikianza kupata signal quality 10% inakuja na kupotea mara nyingi nakuwa nimekaribia. Cheza taratibu na Azimuth na Elevation.
Hiyo beam ipo TZ yote hadi sumbawanga wanaipata, mimi nipo Njombe mpakani na Ruvuma na na enjoy maisha na IS20
Na je LNB frequency kule kwenye Antenna/ Satellite settings umeset ngapi?
Je umekumbuka kuondoa kile ki biscuit ndani ya LNB?
YesKwa 6ft?
Niende ilipo arabsat 5c upande huo labda maana huku zaidi ya quality 18 haipandi zaidiYes
Hako kabakuli kangu kadogo hapo mwanzo ni fut 6 napata IS 20 c & ku pamoja na IS 22.
View attachment 1121950
Hapo ulipo fanya adjustment taratibu taratibu ukiwa nyuma ya dishi kwenda kulia au kushoto (Azimuth), kisha binua taratibu juu chini uone jinsi mstari wa quality unavo behave. Uukienda huo upande wa Azam utakuuwa umeshuka sana nyuzi. Kule ni 7E. I wish ningekuwa jirani yako niije nikusaidie jombaa poleeNiende ilipo arabsat 5c upande huo labda maana huku zaidi ya quality 18 haipandi zaidi

Azam si East sasa swali langu hii ipo east au west?Hapo ulipo fanya adjustment taratibu taratibu ukiwa nyuma ya dishi kwenda kulia au kushoto (Azimuth), kisha binua taratibu juu chini uone jinsi mstari wa quality unavo behave. Uukienda huo upande wa Azam utakuuwa umeshuka sana nyuzi. Kule ni 7E. I wish ningekuwa jirani yako niije nikusaidie jombaa polee![]()
![]()
unaullizia kuhusu IS20 au?Azam si East sasa swali langu hii ipo east au west?
Ndiounaullizia kuhusu IS20 au?
Ndio ni nyuzi 68.5 ENdio
Upande wa zuku,startimes azam si si ndio? Inamaana nigeuze nyuma ya hapaNdio ni nyuzi 68.5 E