African Satellite World and Sat Gear

African Satellite World and Sat Gear

Zote scrambled nimeziona 13 tu
Umepata frequency gani nyingine apart from ile ulio itaja awali cause I googled them and ended up getting this
Screenshot_2019-06-07-13-41-42-191_com.android.browser.jpg
 
Yap. hiyo ndo step 1 maana ukisha ipata 906 IS20 inakuwa very close,
bahati mbaya tu ni kuwa kwenye 906 imebaki TVM ambayo transponder yake ni weak ukilinganisha na akina ITV ambao walisha hama tangu last week so itabidi upambane
tbc1, 2 na safari bado wapo
 
Gsky V5 plus
Mkuu sifa zilizopo kwenye Gsky v5 plus ndio hizo hizo iliyonazo Gt media v9 nimekuuliza hapo Is 20 wewe unapata channels ngapi? Maana hata etv ni scrambled lakini ilifungua nilipokua kwenye KU,

Rakims
 
Mkuu sifa zilizopo kwenye Gsky v5 plus ndio hizo hizo iliyonazo Gt media v9 nimekuuliza hapo Is 20 wewe unapata channels ngapi? Maana hata etv ni scrambled lakini ilifungua nilipokua kwenye KU,

Rakims
Here you go.
IMG_20190607_212303.jpg
IMG_20190607_212245.jpg
1559931715800.jpg
IMG_20190607_212239.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2019-06-07-21-15-03-035_com.android.browser.jpg
    Screenshot_2019-06-07-21-15-03-035_com.android.browser.jpg
    95.4 KB · Views: 49
  • Screenshot_2019-06-07-21-15-46-173_com.android.browser.jpg
    Screenshot_2019-06-07-21-15-46-173_com.android.browser.jpg
    52 KB · Views: 44
Back
Top Bottom