African Satellite World and Sat Gear

African Satellite World and Sat Gear

Mkuu sifa zilizopo kwenye Gsky v5 plus ndio hizo hizo iliyonazo Gt media v9 nimekuuliza hapo Is 20 wewe unapata channels ngapi? Maana hata etv ni scrambled lakini ilifungua nilipokua kwenye KU,

Rakims
Utapata channels kama 250-330 nyingine zimefungwa, nyingine bure.
 
Utapata channels kama 250-330 nyingine zimefungwa, nyingine bure.
Nimepindisha dish kidogo kwenda chini kama cm 4 nimepata radio 20 sasa nifuate uelekeo up kupinda zaidi maana nikienda chini zaidi ya hapo sipati kitu au juu zaidi ya hapo napo hamna
 
Dish lako ft ngapi, mimi nina ft 6 tu nisije kuwa napandisha maji mlima?

Rakims
6 feet, upload picha ya channel list ulizopata. Kama kweli upo kwenye IS20 unatakiwa upate around 200-300 tv programs depending on how fine you have tuned your dish.
 
6 feet, upload picha ya channel list ulizopata. Kama kweli upo kwenye IS20 unatakiwa upate around 200-300 tv programs depending on how fine you have tuned your dish.
Lnb inatakiwa iwe imeangalia upande gani? Maana nimezungusha sana dish bila mafanikio yoyote, nimehamia kwenye Lnb ndio nikaona channels 3 zimeongezeka na zote bado ni scrambled

Kuna channel pia nilipata mbili za satellite 2 tofauti Toonami ya 16A na nyingine ya dstv 36A zingine zote 13 zinadai ni IS 20

Rakims
 
Lnb inatakiwa iwe imeangalia upande gani? Maana nimezungusha sana dish bila mafanikio yoyote, nimehamia kwenye Lnb ndio nikaona channels 3 zimeongezeka na zote bado ni scrambled

Kuna channel pia nilipata mbili za satellite 2 tofauti Toonami ya 16A na nyingine ya dstv 36A zingine zote 13 zinadai ni IS 20

Rakims
Kama unapata na DSTV probably bado umeacha LNB ya KU and that would be a great problem with your hunting. Piga picha dish yako pia na picha ya TV yako ikionyesha hizo channel ulizozipata
 
Kama unapata na DSTV probably bado umeacha LNB ya KU and that would be a great problem with your hunting. Piga picha dish yako pia na picha ya TV yako ikionyesha hizo channel ulizozipata
Hivyo mkuu
1559989068966.jpeg
1559989152981.jpeg
 
Me@sat 91.5E the dish is almost standing vertical.
8 foot dish
Supermax VH-555 LNB
3840 in with Signal quality of 69%
IMG_20190608_130944.jpg
IMG_20190608_131821.jpg
 
Lnb zangu ni gulf sat
Hongera ni kweli upo IS20. Jaribu kufanya blind scan au 3900 H 22222 uone kama utapata channel za S0ny kama hazitakuja fanya adjustment taratibu hadi upate signal.
Hizo Cartoon network haziwezi kufunguka zimefungwa na 1deto.
 
Nimepindisha dish kidogo kwenda chini kama cm 4 nimepata radio 20 sasa nifuate uelekeo up kupinda zaidi maana nikienda chini zaidi ya hapo sipati kitu au juu zaidi ya hapo napo hamna
...
Try to utilise satfinder app ya smartphone yako uki concentrate to the value of azimuth itakayo kupa definitive direction ya selected satellite
...
 
Hongera ni kweli upo IS20. Jaribu kufanya blind scan au 3900 H 22222 uone kama utapata channel za S0ny kama hazitakuja fanya adjustment taratibu hadi upate signal.
Hizo Cartoon network haziwezi kufunguka zimefungwa na 1deto.
Nimeiga umbali wa dish lako naona zimekuwa 25
1559990273086.jpeg
 
Wadau, hv naweza kupata local channel kwa kupitia uelekeo wa dish la dstv? Yaani nitumie dish hilohilo?
 
Back
Top Bottom