African Satellite World and Sat Gear

African Satellite World and Sat Gear

Kama unahitaji IS20 geuza dish yako iellekee kule tullikokuwa tunapata ITV na track TVM ambayo imebaki kule (lnb yako ikiwa bado ina ile biskuit ya ndani), ukisha ipata 3654 R 5632 ondoa hiyo biskuit ndani ya lnb yako ya c band kisha adjust azimuth na elevation ya dishi lako taratibu ukitumia 3974 H 19500 ili upate channel rahisi kabisa kwenye IS20. Moreover jitahidi kupitia hii thread huko nyuma majibu yapo mengi kuhusiana na kutrack Is20.
Huwezi kutumia time yako kunielekeza hapo mkuu,? Nirudi 906 kwa c band yenye biskuti ndani sio?

Rakims
 
Huwezi kutumia time yako kunielekeza hapo mkuu,? Nirudi 906 kwa c band yenye biskuti ndani sio?

Rakims
Yap. hiyo ndo step 1 maana ukisha ipata 906 IS20 inakuwa very close,
bahati mbaya tu ni kuwa kwenye 906 imebaki TVM ambayo transponder yake ni weak ukilinganisha na akina ITV ambao walisha hama tangu last week so itabidi upambane
 
Kama unahitaji IS20 geuza dish yako iellekee kule tullikokuwa tunapata ITV na track TVM ambayo imebaki kule (lnb yako ikiwa bado ina ile biskuit ya ndani), ukisha ipata 3654 R 5632 ondoa hiyo biskuit ndani ya lnb yako ya c band kisha adjust azimuth na elevation ya dishi lako taratibu ukitumia 3974 H 19500 ili upate channel rahisi kabisa kwenye IS20. Moreover jitahidi kupitia hii thread huko nyuma majibu yapo mengi kuhusiana na kutrack Is20.
Quote 30294 mkuu kuzisoma nyuma unanipa mtihani, hapo nilipo nipo kwenye Is 20 nilipitia Ku band sasa swali langu niitoe hapo hapo hiyo biscut au na hii lnb moja inatosha au niongeze nyingine

Rakims
 
Quote 30294 mkuu kuzisoma nyuma unanipa mtihani, hapo nilipo nipo kwenye Is 20 nilipitia Ku band sasa swali langu niitoe hapo hapo hiyo biscut au na hii lnb moja inatosha au niongeze nyingine

Rakims
Post pic ya hiyo IS20 ku tuione maana uliyo post hapo awali nimeona c band
 
Post pic ya hiyo IS20 ku tuione maana uliyo post hapo awali nimeona c band
Ku mkuu hapo dini nyingi tu
1559900676660.jpeg
 
Hapo mkuu channels 120 zote dini tu 4 peke yake ndio hamna dini

Rakims
I assume una receiver ya kisasa maana channel nyingi kwa upande wa c band zimefungwa hapo. Chomoa hiyo lnb ya ku ,weka lnb ya c band hapo kwenye tundu bila kuweka ile marumaru. Tumia frequency niliyoitaja kwenye post #30281 kuipata IS20 c. You may not get it straight away, hakikisha unaizungusha zungusha lnb yako ili upate skew nzuri bila kusahau ku adjust dish lako pale itakapo bidi.
 
I assume una receiver ya kisasa maana channel nyingi kwa upande wa c band zimefungwa hapo. Chomoa hiyo lnb ya ku ,weka lnb ya c band hapo kwenye tundu bila kuweka ile marumaru. Tumia frequency niliyoitaja kwenye post #30281 kuipata IS20 c. You may not get it straight away, hakikisha unaizungusha zungusha lnb yako ili upate skew nzuri bila kusahau ku adjust dish lako pale itakapo bidi.
Kule kwenye itv ulipoelekeza nimeziona 2 tu light tv pamoja na Canal de vie

Rakims
 
Kule kwenye itv ulipoelekeza nimeziona 2 tu light tv pamoja na Canal de vie

Rakims
Frequency zake ni zipi nahisi kama umepotea huko, na je umegeuza dish likiwa bado lina ku au ulishabadilisha kuweka lnb kubwa ya c band
 
Frequency zake ni zipi nahisi kama umepotea huko, na je umegeuza dish likiwa bado lina ku au ulishabadilisha kuweka lnb kubwa ya c band
Canal de vie 12017 H 4245

Light tv 12017 H 4245
 
Frequency zake ni zipi nahisi kama umepotea huko, na je umegeuza dish likiwa bado lina ku au ulishabadilisha kuweka lnb kubwa ya c band
Si kule ilipo continental au nimepotea kabisa?
 
Frequency zake ni zipi nahisi kama umepotea huko, na je umegeuza dish likiwa bado lina ku au ulishabadilisha kuweka lnb kubwa ya c band
Ahsante mkuu nimeanza kuziona 13 baada ya kushusha dish 3cm

Zipo ngapi hapo?
 
Back
Top Bottom