Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.
TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI
Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.
TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI
Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO