Afisa TRA - mtoto wa miaka 2 kumiliki ghorofa

Afisa TRA - mtoto wa miaka 2 kumiliki ghorofa

Mtoto wa miaka 2 atafanya vipi kazi tra? Hen rekebisha Uzi wako

Mkuu pole sana. Ninajua umepokea taarifa hizi kwa mshtuko na ndio maana umeuliza swali hili. Nakushauri uwe mtulivu na uwe na moyo wa subira katika kipindi hiki cha uchungu na maumivu kwa Watanzania.
 
Wakuu asanten kwa kunielewesha naona nolijichanganya...... All in alll wafanyakazi wa tra sehem kubwa ya fedha zao za kifisadi wanazipata kutoka kwa wafanyabiashara wa kihindi trust me wahindi ndyo source ya rushws kubwa kubwa tanzania ndyo maana sehem km china wamewapiga marufuku wamebaki kubebea mizigo ya wafanyabiashara
 
Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.
Sasa wanaanza kuweka mambo wazi, naona hata wanaoendesha hii migomo watakuwa wanasukumwa na baadhi ya watumishi wa TRA kwasababu mambo yanaharibika.
 
Kula kwa zamu, zamu yetu na sisi ikifika mtasikia tu
 
Katuni%28108%29.jpg
 
nye nye nye, nya nya nya, acheni kubwabwaja lipeni kodi nchi iendelee.
 
Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.

TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI

Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO

wafanyabiashara waache ubabaishaji,wao ndio wenye mazoea ya kuwapa rushwa hao wafanya kazi wa TRA,serikali imeamuwa kuanzisha hizi mashine ili kupambana na wezi wao wanajifanya kugoma na kudai eti mtoto wa miaka miwili anamiliki nyumba,kama kama wao wasingekuwa wanakwepa koda na kutoa rushwa kwa hao watu wa TRA hizo nyumba wangezinunulia kwa pesa ipi?
 
Usishangae kuckia hata hao tra wara rushwa ndio wanaoshadidia mashine zigomewe mirija yao ickatike
 
Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.

TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI

Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO

Huyu Jamaa nimemsikiliza na nimemuelewa sana. Na nilichofurahi tofauti na mawazo ya watu wengi kua watu wakishindwa shuleni ndio hukimbilia biashara kujiokoa na maisha, huyu ni msomi mzuri tu na alishawahi kuajiriwa na PRICEWATERHOUSECOOPER kitengo cha kodi.

Alielezea kua kwa Containers zenye mizigo sawa, hua zinatozwa kiasi cha kodi tofauti kulingana na siku hiyo umekwenda vipi na umemkuta nani pale. Na akafika mbali kwa kusema kua maofisa wa TRA wanaupenda huo mtindo wa kukadiria kodi kwa sababu unawapa wao ulaji wa kudai cha juu ili wakukadirie kodi kidogo.

Jamaa alizidi kufunguka kua TRA wanawataka walipe kodi kulingana na MAUZO na sio FAIDA (MAUZO - MATUMIZI). Kwa mtaji huo hata kama mauzo yao ni makubwa, lakini pia na matumizi yanaweza kua makubwa pia hivyo kupata hasara.

Akazidi kudai tu kwa kua yeye kila siku anabanana na hawa TRA kuhakikisha wanafanya mambo yao katika utaratibu unaokubalika, nao TRA wametishia kumuitia wachunguzi wa Kodi wamchunguze huku wakimtaka jamaa ataje mali zake zote alizo nazo, nae akawajibu poa tu lakini nae atawalipua wale wote wala rushwa walioandikisha maghorofa watoto wao including huyu mtajwa katika hii thread.

Patamu sana hapa!!
 
Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.
TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI

Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO
Hizi tuhuma si za kweli. Wafanyabiashara wana bifu na TRA kwa ajili ya EFD. Kwa taarifa tu mali za mtumishi ye yote wa TRA huwa anazitangaza kwa mamlaka na serikali wakati anapoajiriwa, na kila mwaka wa utumishi wake TRA. Na anatangaza mali zote anazomiliki yeye mwenyewe, mke wake au pamoja na mke wake na hata kama umetoa zawadi kwa mtu. Mali hizi zinahakikiwa na vyombo vingine vya serikali kila mwaka, Hilo ghorofa ambalo amemilikishwa mtoto kama lipo lazima limeorodheshwa na kuhakikiwa. Nawasilisha.
 
tra inatakiwa ifumuliwe yote,mifumo ya ukusanyaji kodi iende na ualisia.mwaka jana wakati natoka china nikiwa na vitu nimevinunua kwa matumizi binafsi,wakati nipo hapo airport ofisa wa tra aliniambia wao awafuati risiti inasemaje,tra wao wana fourfigure yakodi kwa kila kitu,yaani mfano tv lcd inch 32 tra wanakutoza 150000, japo mimi china niliinunua 160,000.ajalishi bei wao wana fixed tax rates,kuna mwenzangu alimnunulia mdogo wake shera la harusi dola 50,lakini pale airport aliambia shela la harusi kodi ni 1million.
Hapo ilibidi tutumie akili kumkichwa tutoke na vitu vyetu!!!!!,sio siri maofisa wa tra ni matajiri kiasi kwamba pesa walizonazo zinaweza endesha nchi hii miaka 3.bila kutegemea bajeti ya wafadhiri.
Mwasibu mmoja wa tra hapa dar ,ana hoteli ya thamani ya 3 bilion pale msamvu morogoro,bakia majumba masaki na kigamboni viwanja

hata gauni 1 ukitoka nalo nje unalipia kodi duuuh! Hii ndo kwanza leo naisikia
 
Nafikiri kuna haja ya kuifumua TRA na ajira zake kuwa za mkataba.Baadhi ya wafanyakaze wa TRA wana maisha ambayo ukiyapima kipato chake na maisha yake avilingani.Unamkuta mfanyakazi anamiliki BMW X5,X3,Nissan Murano na Prado latest tena vijana wadogo ndio wanamiliki,mbona nashindwa kuelewa au mishahara yao mikubwa
Huu ndio ukweli, kuna bwana mdogo ninaemfahamu, ndani ya miaka miwili liweza kufanya vitu ambavyo katika miaka yangu 20 ya utumishi sikuwahi kuvifanya licha ya kwamba namzidi mshahara zaidi ya mara mbili. Nilishangaa sana. Lazima hawa watu wachunguzwe na tume huru na ikithibitika utajiri walionao wao au jamaa zao haundani na kipato chao, vitwaliwe na serikali kwa manufaa ya umma na wao washtakiwe kwa kujipatia mali isivyo halali
 
Huyu Jamaa nimemsikiliza na nimemuelewa sana. Na nilichofurahi tofauti na mawazo ya watu wengi kua watu wakishindwa shuleni ndio hukimbilia biashara kujiokoa na maisha, huyu ni msomi mzuri tu na alishawahi kuajiriwa na PRICEWATERHOUSECOOPER kitengo cha kodi.

Alielezea kua kwa Containers zenye mizigo sawa, hua zinatozwa kiasi cha kodi tofauti kulingana na siku hiyo umekwenda vipi na umemkuta nani pale. Na akafika mbali kwa kusema kua maofisa wa TRA wanaupenda huo mtindo wa kukadiria kodi kwa sababu unawapa wao ulaji wa kudai cha juu ili wakukadirie kodi kidogo.

Jamaa alizidi kufunguka kua TRA wanawataka walipe kodi kulingana na MAUZO na sio FAIDA (MAUZO - MATUMIZI). Kwa mtaji huo hata kama mauzo yao ni makubwa, lakini pia na matumizi yanaweza kua makubwa pia hivyo kupata hasara.

Akazidi kudai tu kwa kua yeye kila siku anabanana na hawa TRA kuhakikisha wanafanya mambo yao katika utaratibu unaokubalika, nao TRA wametishia kumuitia wachunguzi wa Kodi wamchunguze huku wakimtaka jamaa ataje mali zake zote alizo nazo, nae akawajibu poa tu lakini nae atawalipua wale wote wala rushwa walioandikisha maghorofa watoto wao including huyu mtajwa katika hii thread.

Patamu sana hapa!!

Napingana nae hapo anapotaka Kodi isikatwe katika mauzo,sisi watumishi tunakatwa Kodi katika basic sio take home!Walipe kodi wasilete usanii
 
Mkuu
usitufanya wananchi wajinga. Tulijionea wenyewe watumishi wa TRA akina
Mutarika walivyokuwa wanatamba na hela za rushwa na maV8 yao bila
kuguswa na mtu we uje hapa kutuzuga kuwa mnazo fomu za kujaza mali. Nyie
TRA kuanzia mfagiaji hadi mkurugenzi mkuu wote ni wezi, nyie ndio
mnachochea wafanyabiashara kugoma. Mmevuruga uchumi wa nchi big
time
Bora umemwambia ukweli asitake kutufanya watoto,sisi tunakatwa kodi wao wanatesea,kweli kijana anakuwa na maisha ya utajiri na magari ya kifahari BMW X5,BMW X3,BMW X6,Nissani Murrano,na VX wafanyakazi wanashindana kwa kuwa na hayo magari.Watuambie hiyo hela wanapata wapi ya kuendesha hayo magari.
 
Hizi tuhuma si za kweli. Wafanyabiashara wana bifu na TRA kwa ajili ya EFD. Kwa taarifa tu mali za mtumishi ye yote wa TRA huwa anazitangaza kwa mamlaka na serikali wakati anapoajiriwa, na kila mwaka wa utumishi wake TRA. Na anatangaza mali zote anazomiliki yeye mwenyewe, mke wake au pamoja na mke wake na hata kama umetoa zawadi kwa mtu. Mali hizi zinahakikiwa na vyombo vingine vya serikali kila mwaka, Hilo ghorofa ambalo amemilikishwa mtoto kama lipo lazima limeorodheshwa na kuhakikiwa. Nawasilisha.

KAAZ KWEL KWEL!
Unaota wewe. Ikiwa wewe siyo mfanyakazi wa TRA unayejitetea, basi wewe ni mbumbumbu maamuma!
Wafanyakazi wengi wa TRA ni mafisadi wa kutisha... wanaiba kodi zetu kujineemesha.Tuko nao na tunaona matusi wanayofanya kujilimbikizia mali.
 
Hizi tuhuma si za kweli. Wafanyabiashara wana bifu na TRA kwa ajili ya EFD. Kwa taarifa tu mali za mtumishi ye yote wa TRA huwa anazitangaza kwa mamlaka na serikali wakati anapoajiriwa, na kila mwaka wa utumishi wake TRA. Na anatangaza mali zote anazomiliki yeye mwenyewe, mke wake au pamoja na mke wake na hata kama umetoa zawadi kwa mtu. Mali hizi zinahakikiwa na vyombo vingine vya serikali kila mwaka, Hilo ghorofa ambalo amemilikishwa mtoto kama lipo lazima limeorodheshwa na kuhakikiwa. Nawasilisha.

Kanuni zipo hivyo!ila watu awatoi zao zote
 
mcc tripu hii ni kama Man u,kila njia wanayotumia kupata hela za kuhonga kwenye next kampeni zinakwama! `Change ni mimi,ni wewe',tuungane kupinga unyonyaji!
 
Back
Top Bottom