Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,959
- 30,138
Napingana nae hapo anapotaka Kodi isikatwe katika mauzo,sisi watumishi tunakatwa Kodi katika basic sio take home!Walipe kodi wasilete usanii
Mkuu,
Una mapato Tshjs 100Mil, na matumizi Tshs 80Mil, unafikiri sahihi ni kukatwa kodi wapi? Kwenye Tshs 100Mil au Profit ya Tshs 20Mil??