Kibogoyio2020
Senior Member
- May 4, 2018
- 154
- 77
Sisi walimu Wa halmashauri ya wilaya ya siha tumechoshwa na vitendo anavyotufanyia afiselimu msingi Wa wilaya yetu.kila Mara ili ufanye kazi maalum au kuhama kituo lazima utoe kituo kidogo.hii imekuwa ni tabia yake miaka yote.posho tunayopewa ya uogozi lazima kila mwezi umatie kidogo vinginevyo cheo hicho atakuondoa na kukupangia au kukuhamisha kituo. Kila tukilalamika anasema nenda unakojua hatafanyiwa kituo.tunaomba sasa serikali itusaidie ili tuweze kukuza elimu kwenye wilaya yetu na asitukatishe tamaa ya kazi ya ualimu.ili tukuze ufaulu kwani kila kipindi tunakuwa karibia Wa mwisho kiwilaya kwa ngazi ya kimkoa.
Amekuwa akifanya kazi kwa mazoea na hana jipya LA kusadie kukua kwa elimu kwa wilaya yetu.
Anaishi KMs 30 nje ya kituo cha kazi hivyo kutembelea shule zetu aatumia remote management na hakuna ufaulu wala motisha wowote ketu sisi walimu
Amekuwa akifanya kazi kwa mazoea na hana jipya LA kusadie kukua kwa elimu kwa wilaya yetu.
Anaishi KMs 30 nje ya kituo cha kazi hivyo kutembelea shule zetu aatumia remote management na hakuna ufaulu wala motisha wowote ketu sisi walimu