AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

Tuna laana ya kutawaliwa na maccm.

Kabisa na hivi juzi mhe. kasema wazi kabisa hata bunge letu lina mapepo hivyo basi ikulu imejaa mapepo mpaka yakawa yana mdondosha kama na bungeni yapo basi ni serikali ya mapepo ina tuongoza...
 
Wakuu for the sake of your hearth ni bora msiwe na matumaini na Taifa stars kwani hata droo leo ni ndoto.
Endeleeni na shughuli zenu tuu.
 
Rahim _baharia uko wapi.

Staz mmekosa goli baada ya ka alcohol kupiga mpira nje akiwa ndani ya box
 
Last edited by a moderator:
Mie mwenyewe naomba wafungwe,maana Taifa linacheza mechi kubwa kama ile nchi nzima haionyeshwi.Duhh
Tuwaachie wenyekujua.
Haya mambo ya TFF na Super sport,maana waligoma ili wapate Pesa,wenzao wakenya hadi mechi za uchochorin Supersport wanaonyesha ligi ya Kenya.Sie hapa tulimgomea DSTv Leo tumempa Azam TV,Hopeless kabisa.
Fungwa huko,mrudi huku na kauli za tumeonyesha kiwango ila bahati sio yetu,hahahaha kazi kweli
 
Back
Top Bottom