Wakubwa ngapingapi hapo?
Tutawapiga 2-1.
taifa stars wamefunga goli mbili za haraka haraka
ninawasiliana na mtu yupo uwanjani
tumepigwa 1
Huu ni ukweli?
Ina maana tbc wameshindwa kutuonyeshaa hiyo gem
Achana naye kalewa viroba huyo! BOCO anatoka anaingia msuva.
mambaz moja nyie bila
ila angalau sasa mnafika hata golini.
matokea ya mwisho ni yapi?