AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

Ulimwengu out,Ngasa In.

bado Msumbiji tunaongoza na Ngasa anakosa goli wakati akigusa mpira kwa mara ya kwanza
 
Samata anapiga bonge la goli nje ya 18 .

starz moja mambaz moja.
 
Goooooo jamaa kapiga goli la faulo umbali wa mita 35 na kutinga nyavuni.

Moza 2 Tz moja
 
Yaani dakika ya 90 tunafungwa shenzi kabisa Taifa stars bora hata msingeenda ijulikane
 
Back
Top Bottom