AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

Updates Ninayoweza Kukupa Ni Ile Kauli tu Ya Rais Mstaafu Mwinyi Kuwa Tanzania Ni Kichwa cha Mwendawazimu na Leo Yametukumba tena Huko Maputo.

Yaani mpaka huyu "bwana mukubwa infwakiti umeniyerewa" amalize muda wake, tutakuwa tumepigika vya kutosha. Tenga popote ulipo utakumbukwa sana.
 
Wenzetu Kenya washafukuza benchi la ufundi
 
mourad+goal4.jpg



REFA ALIKATAA GOLI LA WAZI LA SAID MORAD...KUMBE SI MCHEZO TUNAYE WA KUMLAUMU. REFA WA UGANDA.
 
Baada ya kufungwa kwa 'mbinde sana' na Timu ya Black mambaz,wachezaji wa Starz wakiongozwa na Shomar Kapombe na Mbwana Samatta waliangua machozh ya nguvu.

Waliumia kwa kushindwa kufuzu hatua ya makundi.
Skype Katavi EMT Bulldog
Source:Bongo5
 
Last edited by a moderator:
mourad+goal4.jpg



REFA ALIKATAA GOLI LA WAZI LA SAID MORAD...KUMBE SI MCHEZO TUNAYE WA KUMLAUMU. REFA WA UGANDA.

Kama hiyo picha ni kweli ya mechi hiyo, inafaa sasa Afcon waweke teknolojia iliyotumika world cup kuondoa utata namna hii.
 
Kama hiyo picha ni kweli ya mechi hiyo, inafaa sasa Afcon waweke teknolojia iliyotumika world cup kuondoa utata namna hii.

Hahahaha...hii picha ya mwisho..kn ile yenye kuonesha mfungaji na kipa wakiwa wameruka juu..ndiyo yenye utata...refa kudai kipa alisukumwa
 
Hahahaha...hii picha ya mwisho..kn ile yenye kuonesha mfungaji na kipa wakiwa wameruka juu..ndiyo yenye utata...refa kudai kipa alisukumwa


kamata na hii, mbona refa anatolewa nje ya uwanja kwa msaada wa mapolisi na mbwa wakali?
fikiri kwanza;


refa+batte.jpg
 
kamata na hii, mbona refa anatolewa nje ya uwanja kwa msaada wa mapolisi na mbwa wakali?
fikiri kwanza;


refa+batte.jpg

Hujanielewa mkuu..ni kwamba yenye utata zaidi ni ya kipa na mfungaji ambayo dhahiri shairi hakuguswa ndio angeleta mkuu....kisha wewe ungeleta hii yako..think twice..
 
...denis bate kwa rushwa anaongoza afrika mashariki....aliwauwa st george ya ethiopia fainal kagame 2010..
 
Deo Corleone
maxio marcimo alituwekea mfumo mzuri tu...
jan paulsen akataka kuuvuruga..
kwakua Tenga kacheza mpira akashtuka
akamrudisha Kim Paulsen ambaye naye akaendeleza pale kwa maximo kuibua vijana...
siasa zikaingia akaja huyu Malinzi ..akafukuza kocha akaanza UPYA
kwa kua anataka KUANZA UPYA na KOCHA WAKE MPYA ..tumetolewa "MAKUSUDI" ilitujipange...hahahahahaha
maana tutakua na miaka miwili ya kujifunza na ile timu yake ya TUKUYU....
Don Corleone
hatuwezi kufika mbali kwasababu mpira kwetu SIASA...mpira kwetu FITINA...siasa na fitina ni kama kitu kimoja tu
hatuna uwekezaji ..tunaupotezaji....hatuna mipango tuna mapengo
Don Corleone
toka copa coca cola imeanza ushaona mafanikio yake? imeanza 2009...
umewahi kujiuliza wale watoto waliokua chini ya mpango wa Surnderland na Bolton wako wapi?
Don Corleone
tumetolewa Timu zote kuanzia VIJANA ..WANAWAKE hadi WAZEE
tusubiri ligi yetu ya RUSHWA tuchekane UJINGA ..wa NANI MTANI JEMBE
 
kamata na hii, mbona refa anatolewa nje ya uwanja kwa msaada wa mapolisi na mbwa wakali?
fikiri kwanza;


refa+batte.jpg

tazama na hizi ..next usikurupuke
 

Attachments

  • mourad goal.jpg
    mourad goal.jpg
    162.1 KB · Views: 57
  • moUrad goal2.jpg
    moUrad goal2.jpg
    188.8 KB · Views: 56
Back
Top Bottom