Hao mambaz Leo kufa lazima !
Hizi kosa kosa Ni noma..
WIMBO WA TAIFA WA TIMU YETU YA MSUMBIJI UNAPIGWA HAPA. WACHEZAJI WANA ARI KUBWA,LEO STAZ WANAKAA.
rahim_baharia Katavi Skype watu8 Kigogo Bulldog MEANDU Makoye Matale Sangomwile na wadau wote.
chibha chibhi staz wanashinda moja bila
Staz wamepigwa ngapi mpaka sasa??
Hizi kosa kosa Ni noma..
Mkuu tafadhali aiseh!
Kwenye kundi la m23 ulikuwa unafanya nini.Mimi Mtanzania ila wazazi wangu ni Watanganyika.
Upande UPI mkuu
Hatari hapa langoni wa starz!
mambaz tumecharuka.
ngapi ngapi mpaka sasa?Staz wanabutua tu,hawajapiga hata pasi5 zinazoeleweka.
Kona ya kwanza staz inapata na inapigwa na Mchezaji wa timu yangu ya Azam