AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

Katoka namba kumi ameingia namba 15 yaani huyo ndo hatari mno.

Mambaz tunatisha kama ebola.
 
TV1 Ya Mozambique ila wanaongea kiRonaldo tu kwa sasa ila boli litapigwa hapo saa kumi.

Hiyo TV ya mozambique unaipata wapi? DSTV au Azam? Na ni channel namba ngapi mkuu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Goooo mambaz tumepata goli hapa namba 8 kaweka la kichwa.

Mambaz moja staz bila,bado mengi yanakuja.
 
Mtangazaji anaongea kireno hapa mara Gwajima,mara Warioba sijui anamaanisha nini.

mpira ni mapumziko na mambaz tunaongoza moja.

Katavi na Skype.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa hii gemu staz ingefungwa mapema Sana kwakuwa ball possession Ni zero kati pamekufa mbele ndio hivo hivo na mcha Ni super sub akianza kubadilika inachukua muda Sana,,.
 
Back
Top Bottom