Na wewe ni Mtanzania, vipi utapiga kura uc haguzi ujao!?Hivi ikitoka hivi nani anaendelea
Yaani dakika ya 90 tunafungwa shenzi kabisa Taifa stars bora hata msingeenda ijulikane
Nimedokezwa stars imeshalala 1-0 na sasa ni half timeMie mwenyewe naomba wafungwe,maana Taifa linacheza mechi kubwa kama ile nchi nzima haionyeshwi.Duhh
Tuwaachie wenyekujua.
Haya mambo ya TFF na Super sport,maana waligoma ili wapate Pesa,wenzao wakenya hadi mechi za uchochorin Supersport wanaonyesha ligi ya Kenya.Sie hapa tulimgomea DSTv Leo tumempa Azam TV,Hopeless kabisa.
Fungwa huko,mrudi huku na kauli za tumeonyesha kiwango ila bahati sio yetu,hahahaha kazi kweli
I told u ,mambaz tunashinda hii game,wachezaji wenu wa staz wanaanguka anguka kama wamelewa.
full time Sisi 2 TZ Moja.
haya mkawapokee mashujaa wenu kesho.
Majirani zetu vipi kenya hapo na Lesotho nani anamatokeo..wakuu
Na wewe ni Mtanzania, vipi utapiga kura uc haguzi ujao!?
Majirani zetu vipi kenya hapo na Lesotho nani anamatokeo..wakuu