Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Sisi kila kitu hatuwezi sijui tuna matatizo gani?
2_1 Ila kwa mbinde saana.
langu jicho pia sina muda huo Asante Sana i leila..Baada ya kufungwa 'kwa tabu' na timu ya msumbiji ,kesho mashujaa wetu watapokewa pale JKNIA.
Baada ya starz,kuna wale serengeti boys waliofungwa 4 bila nao watawasili kesho,huku tukisubiri wale wa jumuiya ya madola.
Tujitokeze kwa wingi kuwalaki.
Hii inasikitisha, hasa wapenzi wa michezo... Commonwealth Games; Gold 0, Silver 0, Bronze 0; Serengeti Boys OUT; Taifa Stars OUT....Kwa mTanzania mpenzi wa michezo Naamini unaumia Sana moyoni kuwa na wawakilishi kama hawa..
Baada ya kufungwa 'kwa tabu' na timu ya msumbiji ,kesho mashujaa wetu watapokewa pale JKNIA.
Baada ya starz,kuna wale serengeti boys waliofungwa 4 bila nao watawasili kesho,huku tukisubiri wale wa jumuiya ya madola.
Tujitokeze kwa wingi kuwalaki.
Mtu analala na mke anasema hata hivyo nilitumia condom ha ha ha ha sawa na huu uendawazimu hakuna timu pale. .watu wamekalia chips yai watacheza mpira??!!
Wenye updates mtujuze
Ongezea na hii katiba pia hakuna bajeti kimeo mishahara duni
Timu apewe julio