Mpimaardhi
Senior Member
- Jun 7, 2014
- 169
- 14
Laki a cha Kuota ndoto huku unatembea
Mpira umeisha
[TABLE="class: match-details match-ellipsis league-table mtn"]
[TR]
[TH="class: home"]* Mozambique[/TH]
[TH="class: sco"] 1 - 1[/TH]
[TH="class: awy"] Tanzania[/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"] aggregate score:[/TH]
[TH="class: sco"] (2 - 2)[/TH]
[TH="class: awy"][/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"]half-time:[/TH]
[TH="class: sco"](1 - 0)[/TH]
[TH="class: awy"][/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"]extra-time:[/TH]
[TH="class: sco"](0 - 0)[/TH]
[TH="class: awy"][/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"]penalty shoot-out:[/TH]
[TH="class: sco"](8 - 7)[/TH]
[TH="class: awy"]
TUMETOLEWA[/TH]
[/TR]
[/TABLE]
Mie mwenyewe naomba wafungwe,maana Taifa linacheza mechi kubwa kama ile nchi nzima haionyeshwi.Duhh
Tuwaachie wenyekujua.
Haya mambo ya TFF na Super sport,maana waligoma ili wapate Pesa,wenzao wakenya hadi mechi za uchochorin Supersport wanaonyesha ligi ya Kenya.Sie hapa tulimgomea DSTv Leo tumempa Azam TV,Hopeless kabisa.
Fungwa huko,mrudi huku na kauli za tumeonyesha kiwango ila bahati sio yetu,hahahaha kazi kweli
Kwahiyo unataka ulipwe shs.ngapi ili uweke hiyo link..?!Mbona kuna sehemu humu humu JF wanasema tumepigwa 2-1 ndani ya dk 90?
Bora hata Kaseja aisee..aaarrggggh
Baada ya kufungwa 'kwa tabu' na timu ya msumbiji ,kesho mashujaa wetu watapokewa pale JKNIA.
Baada ya starz,kuna wale serengeti boys waliofungwa 4 bila nao watawasili kesho,huku tukisubiri wale wa jumuiya ya madola.
Tujitokeze kwa wingi kuwalaki.
Wamefungwa ngapi?
Tumepigwa 2-1, Yaan naskiaga uchungu mimi.., nani katuroga jamani..??! Y US..!! EEH Mungu wewe..., kwa nini sisi tuu..., tumekosa ni jamni..., eenh..!!!! https://www.jamiiforums.com/sports/700661-live-updates-tanzania-vs-msumbiji-8.htmlMwenye matokeo ya ukweli atupatie jama, Naona kila mtu na matokeo yake