AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

Kama hutaki kusononesha moyo wako ni bora usikilize muziki kuliko kusikiliza au kuangalia matangazo ya mechi ya Taifa star na ili kuhakikisha husononeki zaidi hata ahadi za wanasiasa wetu usizitilie maanani na wala usijaribu kuzikumbuka.
 
Game ya kwanza ndio tuliharibu,tungeshinda leo tungewatoa hawa wababe wetu
 
Starz washinde wafungwe hata kinyweleo hakitikisiki
 
I told u ,mambaz tunashinda hii game,wachezaji wenu wa staz wanaanguka anguka kama wamelewa.

full time Sisi 2 TZ Moja.

haya mkawapokee mashujaa wenu kesho.

Asante sana kwa updates za nguvu pamoja na matokeo safi. Wewe uliona wapi timu yenye viongozi wababaishaji, porojo na uroho wa madaraka ikasonga mbele? Haya warudi Tanzania na fursa zao ziendelee kutafunwa na tff.
 
Turudi kwenye katiba sasa...

Naona si Jumuiya ya Madola, Serengeti Boys wala Taifa Stars....
 
Ni muda wa kumleta scholari wa Brazil si Brazil washamtema tehtehteh! Kila siku nyimbo hapa ingekuwa hivi ingekuwa vile sijui viongozi sijui wachezaji gongo tuivunje tu timu ya Taifa kwa muda tupumzishe roho zetu.
 
Mpira umeisha
[TABLE="class: match-details match-ellipsis league-table mtn"]
[TR]
[TH="class: home"]* Mozambique [/TH]
[TH="class: sco"] 1 - 1 [/TH]
[TH="class: awy"] Tanzania [/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"] aggregate score: [/TH]
[TH="class: sco"] (2 - 2) [/TH]
[TH="class: awy"][/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"]half-time:[/TH]
[TH="class: sco"](1 - 0)[/TH]
[TH="class: awy"][/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"]extra-time:[/TH]
[TH="class: sco"](0 - 0)[/TH]
[TH="class: awy"][/TH]
[/TR]
[TR="class: partials"]
[TH="class: sts"][/TH]
[TH="class: home"]penalty shoot-out:[/TH]
[TH="class: sco"](8 - 7)[/TH]
[TH="class: awy"]

TUMETOLEWA
[/TH]
[/TR]
[/TABLE]
 
TAIFA STARS: Mechi ya Msumbiji na Taifa Stars kuwania kufuzu Afcon inaendelea, Mbwana Samatta anaisawazishia Stars, matokeo ni 1-1 kipindi cha pili kinaendelea.
 
Hii inasikitisha, hasa wapenzi wa michezo... Commonwealth Games; Gold 0, Silver 0, Bronze 0; Serengeti Boys OUT; Taifa Stars OUT....Kwa mTanzania mpenzi wa michezo Naamini unaumia Sana moyoni kuwa na wawakilishi kama hawa..
 
bora ningezaliwa ujerumani. Nchi gani hii? Matatizo kila secta mara imtu, mara ukawa mara taifa starz, waalimu nao wapo icu. Haya ndo matokeo ya ccm
 
omujb wewe unaonaje??
jana vijana wamepigwa 4--0
leo kaka zao th same
huoni tume proov failure??
 
Back
Top Bottom