Mtanganyikamimi
Member
- Aug 13, 2013
- 64
- 13
Nkuaminia Afande. Songa mbele.
Kila la kheri king of rhymes lakini msumeno wa mbunge awe na degree utakukata,mr 11 naye yuko kitanzini mbowe imemkosa kidogo........,lema ni muhanga pia
Ungewapa pole kwanza wabunge wako std 7 kina Majimafupi,lakairo,kasu na wengine. Hii ni kwa sababu, rasimu ya katiba imesema rais tu ndio sharti awe na jiwe,mbunge ni cheti cha angalau kidato cha NNE. Usidanganye kapuya wewe!Afande Sele,SUGU NA LEMA WANAVYO HIVYO VYETI.
Jamani rasimu ya Katiba mpya inasema sharti la mbunge ni elimu f.4.<. Sio digrii. Someni rasimu ibara ya 117. (1)b. Hivyo Afande Sele ruksa kugombea!
Safi sana tumechoka kuongozwa na hao wakina Abood ambaye tangu aingie bungeni hajawahi kufungua huo mdomo utafikiri umeshonwa yupo pale kutafuta zabuni lakini sio kusaidia wananchi wa morogoro mjini
Ongera sana Afande.
Kwa mwendo huu lazima Shetani ccm aanguke puuuuuuuuuuuuu...............
Alivyo vua suruali jukwaani kila mtu alimuona mhuni na mvuta bangi leo hii kajiunga Chadema anaonekana anafaa. Kweli unafika hulka yetu...
Ana mipango gani ya kuleta maendeleo? Au ndio kwenda kuruhusu bangi bungeni! Eti apambane na Abood! Hao washabiki wake wote hawajawahi kujiandikisha kupiga kura! Atapambana vipi? Kweli tuwe na mbunge mvuta bangi na teja bungeni? Hata kama wana Moro wameichoka ccm sidhani kama watamchagua huyu teja! Mihemko haina maana ktk uchaguzi. Tujiulize, Sugu ameleta maendeleo gani mbeya? Mnyika ubungo ameleta nini? Lema huku kila siku maandamano,leo mnaongeza teja lingine kwenye orodha! Wana Moro ni waelewa hawawezi kufanya uchguzi huu kwa Teja na mbwia unga kama Sele!
Mmmmmh wazo la daktari hili????!!!!
Kweli hakuna haja ya kutofautisha???!!!!!
Sababu CCM wapo basi tujazae tu hilo bunge watu wasio na uwezo mkubwa wa kuchanganua mambo????!!!!
Mimi siungi mkono hoja hata kama ni haki yao kugombea huko tunahitaji big brains!!!!!!
Juma Nkamia vipi msumeno haumhusu? Ana degree ya nini vile?
Kwa vigezo vyako hivyo basi Nyie mngeongoza kwa wabunge akili nzuri Lakini ndo mna Ma mburura pamoja na elimu zao!
watu jamii ya sugu, lema, nyasari, kibajaji na huyo aitwaye sele aliyefukuzwa jeshini na mvua nguo sidhani kama pale bungeni panawafaa. hawana mchango wowote zaidi ya matusi tu. kwanini chadema et al. wasiteue watu wenye akili zao kuliko hizi takataka? au ndo masilahi ya chama kwanza taifa baadaye?
Afande akiwa Mbunge hapo moro, ganja itakuwa ruksa kuvutwa hadharani .
View attachment 123854
Haya bana!Kila la kheri mtupori! Lakini kauli zako zilenge zaidi jinsi gani utawaletea maendeleo wana morogoro ambayo Abood amekwama kuyatekeleza.