Afande Sele: Nitapambana na Abood

Afande Sele: Nitapambana na Abood

Sugu na Lema wamefanya Ubunge Tanzania umekuwa kitu rahisi sana.
 
Ana mipango gani ya kuleta maendeleo? Au ndio kwenda kuruhusu bangi bungeni! Eti apambane na Abood! Hao washabiki wake wote hawajawahi kujiandikisha kupiga kura! Atapambana vipi? Kweli tuwe na mbunge mvuta bangi na teja bungeni? Hata kama wana Moro wameichoka ccm sidhani kama watamchagua huyu teja! Mihemko haina maana ktk uchaguzi. Tujiulize, Sugu ameleta maendeleo gani mbeya? Mnyika ubungo ameleta nini? Lema huku kila siku maandamano,leo mnaongeza teja lingine kwenye orodha! Wana Moro ni waelewa hawawezi kufanya uchguzi huu kwa Teja na mbwia unga kama Sele!
We acha kuongea kitahahira.na uzuri uwezi kuwachagulia watu mbunge au kiongozi.huyo huyo Sugu wana mbeya uwaambii kitu.Pole maana roho itakuuma sana juu ya Mnyika,Sugu,Lema.hawaja soma sana sawa lakini PILIKA ZAO MITAANI ZIMEWAFIKISHA MNJENGONI.maisha yao yapo MIKONONI mwa MUNGU wakati unawawazia mabaya MUNGU anawawazia MEMA.
 
Sina hakika kama watu wa morogolo wanaweza wakafanya ujinga wa kumchagua mtu ambaye hamnazo,ATAENDA KUVUO NGUO NGUO BUNGENI HUYO OOHHH,si mmemuona yule anamiaka chini ya kumi na 8 alivyo fanya!hiyo ndio jamii ya wabunge tunaowataka wana M4c
 
Sugu na Lema wamefanya Ubunge Tanzania umekuwa kitu rahisi sana.
Hata Baba yako JK mr DHAIFU kaifanya TANZANIA kuwa nchi ya kupita na kupatikana madawa ya kulevya kirahisi mno.Muda wa baba yako ukipita nenda ukakamatwe tena china na madawa uone.na laana ya kuwaharibu vijana kwa madawa utaibeba tu na ipo siku Mungu atakulipa sawasawa na matendo yako.
 
He he he he, si unajua tukiwa gwandani we become saints.
Hapo ameshavaa

umenena kweli, yani hata mwendawazimu leo akiingia cdm anapona na kuwa kamanda, cdm hawaishi vituko. Wanataka wabunge bora au bora wabunge?
 
Alivyo vua suruali jukwaani kila mtu alimuona mhuni na mvuta bangi leo hii kajiunga Chadema anaonekana anafaa. Kweli unafika hulka yetu...
 
Ana mipango gani ya kuleta maendeleo? Au ndio kwenda kuruhusu bangi bungeni! Eti apambane na Abood! Hao washabiki wake wote hawajawahi kujiandikisha kupiga kura! Atapambana vipi? Kweli tuwe na mbunge mvuta bangi na teja bungeni? Hata kama wana Moro wameichoka ccm sidhani kama watamchagua huyu teja! Mihemko haina maana ktk uchaguzi. Tujiulize, Sugu ameleta maendeleo gani mbeya? Mnyika ubungo ameleta nini? Lema huku kila siku maandamano,leo mnaongeza teja lingine kwenye orodha! Wana Moro ni waelewa hawawezi kufanya uchguzi huu kwa Teja na mbwia unga kama Sele!

We K.m. mara yako ya mwisho kufika mbeya ni lini? unaweza ukaifananisha mbeya ya enzi ya ccm na mbeya ya chini ya sugu? au ndo unabwabwaja domo kama mnywa viroba?
mwigulu, komba, mlugo, wasira, na hao waume zako wengine wa ccm wamefanya lipi jipya kwenye majimbo yao since uhuru?
 

Attachments

  • Msaliti.gif
    Msaliti.gif
    26.4 KB · Views: 375
  • 2Nachana Mbaya.jpg
    2Nachana Mbaya.jpg
    15.7 KB · Views: 140
Sugu na Lema wamefanya Ubunge Tanzania umekuwa kitu rahisi sana.

kama jk alivyoufanya urais kitu rahisi sana hadi mwigulu nchemba, nchimbi, mlugo, maji marefu nao kuwania urais
 
Huyu amepona ugonjwa wa kuvua nguo?naona hata machizi wanautaka ubunge
 
watu jamii ya sugu, lema, nyasari, kibajaji na huyo aitwaye sele aliyefukuzwa jeshini na mvua nguo sidhani kama pale bungeni panawafaa. hawana mchango wowote zaidi ya matusi tu. kwanini chadema et al. wasiteue watu wenye akili zao kuliko hizi takataka? au ndo masilahi ya chama kwanza taifa baadaye?

Panakufaa wewe!!!!
 
Romania kama sikosei wana mbunge kwenye EU ni mkali mno na alikuwa muuza mwili wake sasa sijui unasemaje ?Yeye anakula ganja unajua kuna watu wana baka , wanauza unga nk nasemaje juu ya hao ?

umesema alikuwa. Sasa afande yeye bado anavuta tena anatembea na misokoto kwenye gari. Kama ni mbunge wa wavutaganja hapo sawa. Kabla ya kutangaza nia. Atangaze kwanza kuacha bangi hapo tutamwelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom