Afande Sele: Nitapambana na Abood

Afande Sele: Nitapambana na Abood

Kila la kheri king of rhymes lakini msumeno wa mbunge awe na degree utakukata,mr 11 naye yuko kitanzini mbowe imemkosa kidogo........,lema ni muhanga pia
Mtua kama wewe ndio mnachangia nchi hii kurudi nyuma yaani hata hufahamu kinachoendelea katika nchi hii,hivi unaishi wapi mjomba hata Rasimu ya katiba hujaisikia au kuambiwa inasemaje kuhusu Mbunge acha kupotisha watu mkuu kwa kukusaidia tu ni hivi Mbunge anatakiwa awe atleast na Elimu ya Sekondari na mwenye kuhitaji Degree ni RAIS so hata wewe kama una FORM 4 yako ruksa kuwa mbunge sema kwa Proffesor Maji Marefu Mbunge wa Korogwe Vijijini imekula kwake moja kwa moja maake yeye ni la sabaaaaaaaaaaaaaaa i mean STD 7.
 
Sidhani kama Sele amejiunga na CDM ili tu kugombea ubunge... Naamini ana haki ya kugombea kama atateuliwa na chama, na naamini atakubali uteuzi uwe katika misingi ya demokrasia, maana nadhani wapo wengine pia wenye nia ya kuomba kupeperusha bendera ya CDM Morogoro mjini...
 
Professor Maji Marefu Mbunge wa Korogwe Vijijini imekula kwake moja kwa moja maake yeye ni la sabaaaaaaaaaaaaaaa i mean STD 7.

Wengine WABUNGE watakao zuiliwa na katiba mpya kwa sababu ni darasa la 7 au chini ya hapo ni:

Lusinde-Mtera(CCM)
Mwanjali-Mbeya Vijijini (CCM)
Lameck Airo-Rorya(CCM)
 
Why Afande Sele mbona wabakaji wako kibao? Makamba.Kapuya,naa nani sijui huyu mama viti maalumu narse wa bagamoyo kubaka kijana wa 26 miaka kwani hayo ndo maadili?Nyambaf1

Two wrongs cant make one right!

Hawa akina Kapuya hawafai kama tu ambavyo Afande Sele hafai pia!Kuonyesha maungo yake ya siri kwa mheshimiwa Mbunge haikubaliki!
 
MH. ABOOD ANACHIMBA VISIMA VIJIJINI, ANANUNUA AMBULANCE (MAGARI YA WAGONJWA) etc.., KWA AJIRI YA WANANCHI HAYO MBONA HAONGEI.??! BANG MBAYA SANA MAANA KATI YA VITU ANAVYOPANGA HUYO MGAMBO SELE NI KUOMBA KATIBA IRUHUSU WABUNGE WA KIUME KUWA NA RASTA. HUU NI WEHU WA HARI YA JUU LABDA AKAJARIBU JAMAICA. KASHIDWA KUWAONGOZA GETTO BOYS/GIRLS NA WATU PORI A.K.A WASHAMBA ITAKUWA MJI KASORO PWANI..??

We unajua kazi ya mbunge? ukijua dhilo ndo waweza amini hata sele anaweza fanya! tatizo la chaguzi zetu ni rushwa, je abood kama anakuchimbia visima vya Tsh100 na anakwepa kodi Tsh600 wewe utaona? acheni kujidharau, hata sere anaweza!
 
watu jamii ya sugu, lema, nyasari, kibajaji na huyo aitwaye sele aliyefukuzwa jeshini na mvua nguo sidhani kama pale bungeni panawafaa. hawana mchango wowote zaidi ya matusi tu. kwanini chadema et al. wasiteue watu wenye akili zao kuliko hizi takataka? au ndo masilahi ya chama kwanza taifa baadaye?

Acha kua hater wewe hao "WAHESHIMIWA" wanamchango gani????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom