Huyu mvuta bangi?
ndo sheria mpya ya mbunge kuwa na degree!mie hata sijui
yuko kazini hapo sema alizidiwa na mzuka huo...............!!Huyu mvuta bangi?
watu jamii ya sugu, lema, nyasari, kibajaji na huyo aitwaye sele aliyefukuzwa jeshini na mvua nguo sidhani kama pale bungeni panawafaa. hawana mchango wowote zaidi ya matusi tu. kwanini chadema et al. wasiteue watu wenye akili zao kuliko hizi takataka? au ndo masilahi ya chama kwanza taifa baadaye?
He he he he, si unajua tukiwa gwandani we become saints.
Hapo ameshavaa
View attachment 123854
Haya bana!Kila la kheri mtupori! Lakini kauli zako zilenge zaidi jinsi gani utawaletea maendeleo wana morogoro ambayo Abood amekwama kuyatekeleza.
unaijua elimu ya nasari wewe?au unaropoka tu.
Kila la kheri king of rhymes lakini msumeno wa mbunge awe na degree utakukata,mr 11 naye yuko kitanzini mbowe imemkosa kidogo........,lema ni muhanga pia
siwezi kumchagua mla ganja hata iweje morogoro ubunge upati hacha kwanza ganja
watu jamii ya sugu, lema,
nyasari, kibajaji na huyo aitwaye sele aliyefukuzwa jeshini na mvua nguo
sidhani kama pale bungeni panawafaa. hawana mchango wowote zaidi ya
matusi tu. kwanini chadema et al. wasiteue watu wenye akili zao kuliko
hizi takataka? au ndo masilahi ya chama kwanza taifa baadaye?
Mwenzako ana masters tena ya kwa malkia wewe endelea kushangaaa
Teh teh teh!!Sijui aliwaza nini kamanda akaamua kujichua hadharani namna hiyo. Bangi mbaya sana kwakweli.
View attachment 123854
Haya bana!Kila la kheri mtupori! Lakini kauli zako zilenge zaidi jinsi gani utawaletea maendeleo wana morogoro ambayo Abood amekwama kuyatekeleza.
Sawa Mwekundu. kwa SHERIA hiyo ikipita tayari itakuwa imemvua Abood ubunge maana yeye ni Four na katoka na fKila la kheri king of rhymes lakini msumeno wa mbunge awe na degree utakukata,mr 11 naye yuko kitanzini mbowe imemkosa kidogo........,lema ni muhanga pia
Ana mipango gani ya kuleta maendeleo? Au ndio kwenda kuruhusu bangi bungeni! Eti apambane na Abood! Hao washabiki wake wote hawajawahi kujiandikisha kupiga kura! Atapambana vipi? Kweli tuwe na mbunge mvuta bangi na teja bungeni? Hata kama wana Moro wameichoka ccm sidhani kama watamchagua huyu teja! Mihemko haina maana ktk uchaguzi. Tujiulize, Sugu ameleta maendeleo gani mbeya? Mnyika ubungo ameleta nini? Lema huku kila siku maandamano,leo mnaongeza teja lingine kwenye orodha! Wana Moro ni waelewa hawawezi kufanya uchguzi huu kwa Teja na mbwia unga kama Sele!