lema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
wewe naona umevurugwaLema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
Lema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
sele anadhani muziki na ubunge ni vitu ambavyo vinafanana kumbe wala hata havishabihiani kabisa.
Huyu itakuwa sasa anachanganya bangi na gongo.
Lema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
Akili yako changa sana, soma historia, kuanzia akina mfalme Daudi, walikuwa wanamziki, unamkumbuka Shaba Robert, Unamkumbuka Bob Marley, Meriam Makeba je. Unajua nguvu zao za kisiasa.
Komba wa CCM Vipi?
Sio manyaunyau aka maji marefu wa TangaLema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
He has never been an active soldier,hao walikuwa wanajeshi wa kimangumashi wakipelekwa jeshini kisiasa zaidi kuliko kitaaluma.Akwambia KOMBA ni Mwanajeshi aka CAPTAIN
Askari, makada. Wewe nimekukubali.He has never been an active soldier,hao walikuwa wanajeshi wa kimangumashi wakipelekwa jeshini kisiasa zaidi kuliko kitaaluma.
Hili zoezi lilikuwa likiwakera sana professional soldiers,afadhali tuliondokana na upuuzi huu.