wananchi wamechachamaa nini toa maelezo yakutoshaa na kueleweka sio maelezo madogo yanakushinda.Navyojua yeye sio mjumbe,balozi,m/kiti serekali za mtaa,diwani,mbunge nyoosha maelezo.ndio anaanza japo na yeye aendeshe kilimo kwanza one day....
.....Nilipita Moro wananchi wamechachamaa !!!!!
Hawaitaki CCM, wapigie magamba wenzako wakwambie.wananchi wamechachamaa nini toa maelezo yakutoshaa na kueleweka sio maelezo madogo yanakushinda.Navyojua yeye sio mjumbe,balozi,m/kiti serekali za mtaa,diwani,mbunge nyoosha maelezo.ndio anaanza japo na yeye aendeshe kilimo kwanza one day.
Afande umechangua fungu jema achana na wasiokutakia mema, you have our full support!
afande sele yeye avute ndumu zake tu lakini siasa siyo sehemu yake vinginevyo atatia aibu tu.
Labda Morogoro nyingine na siyo hii ninayoishi mimi.
Rahisi kwa kila chama au kwa CHADEMA tu? Kama kwa CHADEMA tu, basi hongera kwake!Lema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
teh teh teh...na damu ya kjana muuza magazeti mlioimwaga pale msamvu...anyway time will tell.