Afande Sele: Lazima CHADEMA Itashainda Morogoro

Afande Sele: Lazima CHADEMA Itashainda Morogoro

Afande sele kama vijana wengi wa chadema akishakunywa pombe fulani inaitwa "burudani" akavuta bangi akili zake zinamtuma kuwa 2015 nchi itachukuliwa na chadema, na yeye atakuwa mbunge, na anajua atapewa uwaziri.
 
Afande sele kama vijana wengi wa chadema akishakunywa pombe fulani inaitwa "burudani" akavuta bangi akili zake zinamtuma kuwa 2015 nchi itachukuliwa na chadema, na yeye atakuwa mbunge, na anajua atapewa uwaziri.
Na wanaamini Dr.Slaa akiwa rais. Basi maisha yao yatabadilika ghafla na kuwa nafuu hata bila kufanya kazi kwa bidii.
 
Vijana wanamkimbiza kwenye hip hop, kawa choka mbaya sasa anajaribu kutoka kupitia siasa. Pole sana, Morogoro wapiga viroba, gongo na bangi ni wachache sana - Huwezi kupata hataa robo ya kura. Halafu nani kakuambia utakuwa mgombea pekee kutoka CDM. Unahitaji kujiandaa kwa chaguzi za ndani kwanza au wenye chama chao kutoka Kilimanjaro wamesha kupa ticket?
 
Afande hilo sahau kwa hapo morogoro chadema kupewa ridhaa na wanamorogoro kwani uongozi ni historia
 
Acha tuwe na maras kwenye bunge salaam itakua "Hey Mr Spika wata gwan" Sijui Makinda atajibuje.
 
Na wanaamini Dr.Slaa akiwa rais. Basi maisha yao yatabadilika ghafla na kuwa nafuu hata bila kufanya kazi kwa bidii.


Mkuu MSALANI nilikua nasikiliza bunge! Kuna mbunge mmoja Wa Ccm jioni ametoa mchango mzuri!
Anasema walipokua wanakwenda kujifunza mambo huko nje walipopita Kenya akakutana na habari kwenye gazeti ikisema Kenya wanajenga Reli pana zile kubwa! Akasema Kwetu huku Tuko ktk atua ya kuongea tu wakati wenzetu wanatekeleza! Na mwisho akasema tuacheni maneno tufanye Kz na utekelezaji!

Tuko na miaka Zaidi ya 50 ya uhuru, Je hii atua tuliyofika inalingana na umri wetu Wa uhuru ktk kila kitu?
Hakuna! Kwahiyo km Hakuna Tunaitaji mabadiliko Mkuu! Ni aibu Kua na maneno tuuuuuuu na Hali ni ngumu Na gap ya walionacho na wasio nacho inakua kubwa na asilimia kubwa ya watu wanakula Milo miwili Kwa siku na ni ileile kila siku! Matatizo ni mengi mno! Ccm imeshindwa kutatua Kero za wananchi! Pato la mtzania Wa kawaida Kwa siku halijulikani!
 
Achana na Mkushi, unamjua vizuri, Yaani mbunge aliyeko sasa hamfikii hata kwa 10%. Kamuulize mwenyewe.
 
Nyimbo za afande sele tu ukilinganisha na maoni ya lusinde katika jambo lolote lile utaona nani ana busara. Afande sele ni mtu makini na ana kila sababu ya kuchukua jimbo moro kuliko takataka iyo ya CCM.
 
Akili yako changa sana, soma historia, kuanzia akina mfalme Daudi, walikuwa wanamziki, unamkumbuka Shaba Robert, Unamkumbuka Bob Marley, Meriam Makeba je. Unajua nguvu zao za kisiasa.

Komba wa CCM Vipi?

mWACHE KUYO MVIVU WA KUSOMA HISTORIA ZA WANAMUZIKI.
 
Afande sele kama vijana wengi wa chadema akishakunywa pombe fulani inaitwa "burudani" akavuta bangi akili zake zinamtuma kuwa 2015 nchi itachukuliwa na chadema, na yeye atakuwa mbunge, na anajua atapewa uwaziri.

Bangi kwetu kusini inaitwa Shuruma.
 
Back
Top Bottom